Amefanya utafiti gani kwa Ubongo wake mwepesi huo wa kula Kondoo. Yeye anakuja na udaku wa kwenye internet bungeni wakati Rais Samia ashaunda tume ya wataalamu kufuatilia hiloIli usiwe mjinga mpinge kwa utafiti wako usio na conspiracy theories
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app