Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula: Si haki hata kidogo kumtusi na kumdhalilisha kwa namna yoyote ile Rais Magufuli

Ekethocho

Member
Jul 19, 2018
99
189
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kama mwanadamu anayo mapungufu na hivyo ni haki kwa mtu ye yote kutofautiana na misimamo au mitazamo yake. Lakini si haki hata kidogo kumtusi, kumtweza, na hata kumdhalilisha kwa namna ye yote ile.

Ukifanya hivyo utakuwa unajikosea wewe mwenyewe katika nafsi yako na pia utakuwa unatukosea na sisi wengine wote haijalishi kama tunakubaliana au tunatofautiana na mitazamo au misimamo yake.

Tujifunze kutumia hoja katika kutofautiana na watu pasipo kutumia lugha za matusi kwa viongozi na hata watu wa kawaida na huo ndio utu.

Tujifunze na tujenge utamaduni wa kuheshimu utu wa watu hata wale tunaotofautiana nao kwa kuwa kwa kufanya hivyo tutakuwa tunamheshimu Mungu kwa vitendo.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula
Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki na Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Makanisa ya Moravian ya Uamsho Duniani.



sI BUSARA KUMTUKANA RAIS.PNG
 
DINI HAIPASWI KUINGILIA MASUALA YA KISERIKALI,KAMA ANATAKA SIASA AACHE UASKOFU KWANZA
 
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kama mwanadamu anayo mapungufu na hivyo ni haki kwa mtu ye yote kutofautiana na misimamo au mitazamo yake. Lakini si haki hata kidogo kumtusi, kumtweza, na hata kumdhalilisha kwa namna ye yote ile.

Ukifanya hivyo utakuwa unajikosea wewe mwenyewe katika nafsi yako na pia utakuwa unatukosea na sisi wengine wote haijalishi kama tunakubaliana au tunatofautiana na mitazamo au misimamo yake.

Tujifunze kutumia hoja katika kutofautiana na watu pasipo kutumia lugha za matusi kwa viongozi na hata watu wa kawaida na huo ndio utu.

Tujifunze na tujenge utamaduni wa kuheshimu utu wa watu hata wale tunaotofautiana nao kwa kuwa kwa kufanya hivyo tutakuwa tunamheshimu Mungu kwa vitendo.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula
Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki na Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Makanisa ya Moravian ya Uamsho Duniani.



Ameongea jambo la msingi ni kichaa pekee atakae mpinga katika hili
 
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kama mwanadamu anayo mapungufu na hivyo ni haki kwa mtu ye yote kutofautiana na misimamo au mitazamo yake. Lakini si haki hata kidogo kumtusi, kumtweza, na hata kumdhalilisha kwa namna ye yote ile.

Ukifanya hivyo utakuwa unajikosea wewe mwenyewe katika nafsi yako na pia utakuwa unatukosea na sisi wengine wote haijalishi kama tunakubaliana au tunatofautiana na mitazamo au misimamo yake.

Tujifunze kutumia hoja katika kutofautiana na watu pasipo kutumia lugha za matusi kwa viongozi na hata watu wa kawaida na huo ndio utu.

Tujifunze na tujenge utamaduni wa kuheshimu utu wa watu hata wale tunaotofautiana nao kwa kuwa kwa kufanya hivyo tutakuwa tunamheshimu Mungu kwa vitendo.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula
Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki na Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Makanisa ya Moravian ya Uamsho Duniani.



Sio Magufuli tu, bali sio HAKI kumtusi au kumdhalilisha binadamu yoyote yule.
 
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kama mwanadamu anayo mapungufu na hivyo ni haki kwa mtu ye yote kutofautiana na misimamo au mitazamo yake. Lakini si haki hata kidogo kumtusi, kumtweza, na hata kumdhalilisha kwa namna ye yote ile.

Ukifanya hivyo utakuwa unajikosea wewe mwenyewe katika nafsi yako na pia utakuwa unatukosea na sisi wengine wote haijalishi kama tunakubaliana au tunatofautiana na mitazamo au misimamo yake.

Tujifunze kutumia hoja katika kutofautiana na watu pasipo kutumia lugha za matusi kwa viongozi na hata watu wa kawaida na huo ndio utu.

Tujifunze na tujenge utamaduni wa kuheshimu utu wa watu hata wale tunaotofautiana nao kwa kuwa kwa kufanya hivyo tutakuwa tunamheshimu Mungu kwa vitendo.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula
Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki na Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Makanisa ya Moravian ya Uamsho Duniani.



mbona suala la kupigwa risasi cjasikia maaskofu kusema lolote,au nao wamefurahiwa nalo? Watumishi wa Mungummeendekeza zaid njaa kuliko kuchunga kondoo wenu kama mlivyotumwa na Baba wa bingun,nimeshangaa maaskof,mashehee,wachungaji nk wote wamekaa kimyaa juu dhahma aliyoipata ndg Lissu mbaya zaid wengi wanadirik hata kumbeza mtu ambea hakika kawafungua akil watu weng ktk suala zima la kujua haki zetu kama watanzia lkn viongoz wa din wako kimyaaa wakiongeza mapambio kwa mtukufu ambae anawaumiza wananch kwa namna moja au nyingine. Wafanyakaz wananyiwa haki zao za msing lkn bado mtu huyohuyo wananzidishia mapambio ili mkono uingie kinywan wkt anaewaita wanyonge mnazihitaj sadaka zao kila kuchwao. Jaribun kidogo kuwa kama askofu shooo ambae kwa nafas yake kajitahd kusema neno juu ya uov uliotamalaki ktk nchi waiitayo yenye aman
 
mbona suala la kupigwa risasi cjasikia maaskofu kusema lolote,au nao wamefurahiwa nalo? Watumishi wa Mungummeendekeza zaid njaa kuliko kuchunga kondoo wenu kama mlivyotumwa na Baba wa bingun,nimeshangaa maaskof,mashehee,wachungaji nk wote wamekaa kimyaa juu dhahma aliyoipata ndg Lissu mbaya zaid wengi wanadirik hata kumbeza mtu ambea hakika kawafungua akil watu weng ktk suala zima la kujua haki zetu kama watanzia lkn viongoz wa din wako kimyaaa wakiongeza mapambio kwa mtukufu ambae anawaumiza wananch kwa namna moja au nyingine. Wafanyakaz wananyiwa haki zao za msing lkn bado mtu huyohuyo wananzidishia mapambio ili mkono uingie kinywan wkt anaewaita wanyonge mnazihitaj sadaka zao kila kuchwao. Jaribun kidogo kuwa kama askofu shooo ambae kwa nafas yake kajitahd kusema neno juu ya uov uliotamalaki ktk nchi waiitayo yenye aman
Mnahangaika na Lissu wakati mwenyewe alipo anafurahia tukio hilo kwa sababu imemfanya ale bata majuu. Binafsi naona kama kulikuwa na mpango waneutengeneza wenyewe, nina wasiwasi hata zile risasi hazikuwa risasi bali mayai visa.
 
Naomba jibu kwa mtumishi wa Mungu,nani anastahili kutukanwa,mbele ya Mungu binadamu wote wako sawa
 
Ila ni haki kwa wengine kubeba bunduki kwenda kuuwa wenzao siyo?

Kama tunautambua umuhimu wa utu wa John lazima tuutambue na kuheshimu utu wa juma
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kama mwanadamu anayo mapungufu na hivyo ni haki kwa mtu ye yote kutofautiana na misimamo au mitazamo yake. Lakini si haki hata kidogo kumtusi, kumtweza, na hata kumdhalilisha kwa namna ye yote ile.

Ukifanya hivyo utakuwa unajikosea wewe mwenyewe katika nafsi yako na pia utakuwa unatukosea na sisi wengine wote haijalishi kama tunakubaliana au tunatofautiana na mitazamo au misimamo yake.

Tujifunze kutumia hoja katika kutofautiana na watu pasipo kutumia lugha za matusi kwa viongozi na hata watu wa kawaida na huo ndio utu.

Tujifunze na tujenge utamaduni wa kuheshimu utu wa watu hata wale tunaotofautiana nao kwa kuwa kwa kufanya hivyo tutakuwa tunamheshimu Mungu kwa vitendo.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula
Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki na Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Makanisa ya Moravian ya Uamsho Duniani.



 
Mpaka hapa umeshapoteza moral authority ya kutuletea hii hoja ya Mwamakula.
Mnahangaika na Lissu wakati mwenyewe alipo anafurahia tukio hilo kwa sababu imemfanya ale bata majuu. Binafsi naona kama kulikuwa na mpango waneutengeneza wenyewe, nina wasiwasi hata zile risasi hazikuwa risasi bali mayai visa.
 
Tujifunze kutumia hoja katika kutofautiana na watu pasipo kutumia lugha za matusi kwa viongozi na hata watu wa kawaida na huo ndio utu. Hii ni qoute kutoka andiko la Baba Askofu aya ya tatu
Sio Magufuli tu, bali sio HAKI kumtusi au kumdhalilisha binadamu yoyote yule.
 
Fact Raisi ni symbol ya mamlaka kuu ya nchi haipaswi kumtusi wala kumkashifu, Askofu amenena vyema, hata vitabu vimenena hivyo kutii mamlaka ya nchi
 
Back
Top Bottom