Askofu Dr Benson Bagonza: Hatuna duka linalouza hekima ukiwa mwizi ujifunze na kukimbia

Hatuna duka linalouza hekima. Hakuna mganga wa kienyeji toka Sumbawanga anayeweza kuzindika hekima. Hatuna daktari wa kufanya operesheni kuingiza hekima kichwani. Hakuna muujiza wa maombezi kuingiza hekima vinywani na kwenye bongo zetu.

Uzoefu (experience), haina mbadala. Twazingatia:

-Ukiwa mwongo, usiwe msahaulifu.

- Ukijifunza wizi, jifunze na kukimbia.

- Ukikosa uaminifu, jifunze uangalifu.

- Usibadili aibu kuwa hasira.

-Asojua ubaya wa makalio, huyageuza mto wa kulalia.

- Waweza kuwadharau siafu, lakini huwezi kuwakalia.

- Nyumba yenye njaa, haikosi kelele.

Mungu wetu ni msingi wa demokrasia. Aliumba wenye nguvu na wanyonge, wajinga na werevu, watawala na watawaliwa. Uhuru wa mihimili ni utashi wa muumba ili amani iwepo. Mungu akikupa nguvu anakunyima hekima ili ushauriwe; akikuumba mfupi, anakupa akili za kutumia warefu wakuchumie maembe. Dunia ya wafupi tu ni taabu. Ya warefu tu ni balaa. Ya wababe tu, mnyonge ndiye kiongozi.

Maisha yakiwa magumu, wote tunageuka wana falsafa. Tunda letu limepotea, humu ndani hapakaliki. Aliyekula na aliyekosa, wote wanalia.

Tuwahi nyumbani, ofisini hapakaliki na mitaani mafuriko.
Mungu akubariki Askofu Dr. B Bagonza. Huyu ni level zingine.
 
Hatuna duka linalouza hekima. Hakuna mganga wa kienyeji toka Sumbawanga anayeweza kuzindika hekima. Hatuna daktari wa kufanya operesheni kuingiza hekima kichwani. Hakuna muujiza wa maombezi kuingiza hekima vinywani na kwenye bongo zetu.

Uzoefu (experience), haina mbadala. Twazingatia:

-Ukiwa mwongo, usiwe msahaulifu.

- Ukijifunza wizi, jifunze na kukimbia.

- Ukikosa uaminifu, jifunze uangalifu.

- Usibadili aibu kuwa hasira.

-Asojua ubaya wa makalio, huyageuza mto wa kulalia.

- Waweza kuwadharau siafu, lakini huwezi kuwakalia.

- Nyumba yenye njaa, haikosi kelele.

Mungu wetu ni msingi wa demokrasia. Aliumba wenye nguvu na wanyonge, wajinga na werevu, watawala na watawaliwa. Uhuru wa mihimili ni utashi wa muumba ili amani iwepo. Mungu akikupa nguvu anakunyima hekima ili ushauriwe; akikuumba mfupi, anakupa akili za kutumia warefu wakuchumie maembe. Dunia ya wafupi tu ni taabu. Ya warefu tu ni balaa. Ya wababe tu, mnyonge ndiye kiongozi.

Maisha yakiwa magumu, wote tunageuka wana falsafa. Tunda letu limepotea, humu ndani hapakaliki. Aliyekula na aliyekosa, wote wanalia.

Tuwahi nyumbani, ofisini hapakaliki na mitaani mafuriko.

Duuuh. Nilidhani atasema wezi waache wizi na kumcha MUNGU, kumbe wanatakiwa wajifunze kukimbia tu. Biblia gani amayatoa hayo?
 
Ameeleza ukweli. Ni kazi kwao wenye nia njema kuutafakari na kutoa kila mmoja maoni yake.
 
Ameeleza ukweli. Ni kazi kwao wenye nia njema kuutafakari na kutoa kila mmoja maoni yake.
 
Sio Dr Bana heading inasema Bagonza!!

Bana yupo kwenye waiting list muda sasa hawezi pata akili ya kuongea haya
Yule hana tofauti na slow ila naona teuzi zinampitia kushoto aongeze spid ya kusifu na kuabudu kesho yake yaja asikate tamaa.
 
Maaskofu hawatukanwi. Ukiwatukana lazima Mungu atakuumbua tu. Na bado Mungu atazidi kumuumbua hadi atubu.
 
Hii si busara kabsa na hii mipasho ya KIPUUZI...Anachofanya huyu Askofu ni siasa zenye chuki binafsi kwa anaemfikishia ujumbe...Nchi hii ina maaskofu wa ngapi?...kwanini kila siku ni yeye tu
Anamfikishia ujumbe nani?? Kwani kuna mtu hana hekima nchi?
 
Naona mbwa mwitu wa ufipa wanapongezana kwenye huu Uzi,
The fact is that; all these barking puppies are nothing, there were pipes in which they benefited but now the offer is off!!
 
Hahahha....Bagonza ni Askofu mwenye ujasiri kuliko wote. Angalia maneno haya!!
 
Hatuna duka linalouza hekima. Hakuna mganga wa kienyeji toka Sumbawanga anayeweza kuzindika hekima. Hatuna daktari wa kufanya operesheni kuingiza hekima kichwani. Hakuna muujiza wa maombezi kuingiza hekima vinywani na kwenye bongo zetu.

Uzoefu (experience), haina mbadala. Twazingatia:

-Ukiwa mwongo, usiwe msahaulifu.

- Ukijifunza wizi, jifunze na kukimbia.

- Ukikosa uaminifu, jifunze uangalifu.

- Usibadili aibu kuwa hasira.

-Asojua ubaya wa makalio, huyageuza mto wa kulalia.

- Waweza kuwadharau siafu, lakini huwezi kuwakalia.

- Nyumba yenye njaa, haikosi kelele.

Mungu wetu ni msingi wa demokrasia. Aliumba wenye nguvu na wanyonge, wajinga na werevu, watawala na watawaliwa. Uhuru wa mihimili ni utashi wa muumba ili amani iwepo. Mungu akikupa nguvu anakunyima hekima ili ushauriwe; akikuumba mfupi, anakupa akili za kutumia warefu wakuchumie maembe. Dunia ya wafupi tu ni taabu. Ya warefu tu ni balaa. Ya wababe tu, mnyonge ndiye kiongozi.

Maisha yakiwa magumu, wote tunageuka wana falsafa. Tunda letu limepotea, humu ndani hapakaliki. Aliyekula na aliyekosa, wote wanalia.

Tuwahi nyumbani, ofisini hapakaliki na mitaani mafuriko.
Hii ni zaidi ya habari kwangu tu lakini.
 
Hatuna duka linalouza hekima. Hakuna mganga wa kienyeji toka Sumbawanga anayeweza kuzindika hekima. Hatuna daktari wa kufanya operesheni kuingiza hekima kichwani. Hakuna muujiza wa maombezi kuingiza hekima vinywani na kwenye bongo zetu.

Uzoefu (experience), haina mbadala. Twazingatia:

-Ukiwa mwongo, usiwe msahaulifu.

- Ukijifunza wizi, jifunze na kukimbia.

- Ukikosa uaminifu, jifunze uangalifu.

- Usibadili aibu kuwa hasira.

-Asojua ubaya wa makalio, huyageuza mto wa kulalia.

- Waweza kuwadharau siafu, lakini huwezi kuwakalia.

- Nyumba yenye njaa, haikosi kelele.

Mungu wetu ni msingi wa demokrasia. Aliumba wenye nguvu na wanyonge, wajinga na werevu, watawala na watawaliwa. Uhuru wa mihimili ni utashi wa muumba ili amani iwepo. Mungu akikupa nguvu anakunyima hekima ili ushauriwe; akikuumba mfupi, anakupa akili za kutumia warefu wakuchumie maembe. Dunia ya wafupi tu ni taabu. Ya warefu tu ni balaa. Ya wababe tu, mnyonge ndiye kiongozi.

Maisha yakiwa magumu, wote tunageuka wana falsafa. Tunda letu limepotea, humu ndani hapakaliki. Aliyekula na aliyekosa, wote wanalia.

Tuwahi nyumbani, ofisini hapakaliki na mitaani mafuriko.
Akili ni kama nywele mazee
IMG-20180422-WA0007.jpg
 
Back
Top Bottom