Askofu Basileus Ezekiel Mabumba: Lowassa asipokuwa Rais 2015 mniue!

Kwani Sheikh Yahya aliuwawa? Alisema tu kwamba kuna Kiongozi mkubwa atakufa, akafa yeye badala yake.

Kabla ya 2015 wengi watasema mengi na watafanya mengi ila naamini watakufa wengi, pia kama Sheikh Yahya na kupitia matukio mengine mengi ambayo hatutaweza kuyazuia kwa wakati huo.

Binafsi naomba Mungu isiwe hivyo.
 
Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo 'Mungu' huwatabiria rais wao.. Yule mwingine aliitwa 'Chaguo la Mungu' lakini leo anatiwa vidole Machoni kwa lawama.
 
Ni kama kauli ya mganga wa kenyeji vile au mpiga ramli. Hata kama Lowasa angekuwa bora kiasi gani, hiyo sio kauli ya kawaida.
 
Kama huyo Askofu anampenda sana Lowassa, si ampe uchungaji au mtoto wake amuone au ajitoe yeye mwenyewe kama kijakazi cha EL. We don't need a thief! Lowassa anaweza kuongoza mbuzi na ng'ombe si nchi. He is out of equation ya urais. Mimi nitamtafutia sumu kali ya kunywa huyo askofu ili aitangwe na kumwondoa haraka! Nonsense!!!
 
Naam Lowassa ndiye Rais wa 2015. Pamoja na Makundi uchwara Ndani ya CCM yakiendeshwa na Nape na mabwana zake. Bado LOWASSA ndiyo next President.

He will be the president of his wife and children, not this country? Hakuna haja ya unafiki!! I know the guy in and out, from Monduli - his family, to PM. Historia yake ni ya wizi na unafiki. Ninyi ndio wale mliokuwa mnafaidi wizi wake ndio maana mko tayari kwa lolote! Arudishe 20bil plus alizohamishia nje ya nchi immidiately alipovuliwa u-PM. We don't need him! Pension ya U-PM inamtosha. Kuna watu wengi ndani ya CCM wanaoweza kuchapa kazi na ni waadilifu sana. System ndani ya CCM needs to give those a chance.
 
Nijuavyo viongozi wa Dini hawatakiwa kujihusisha na shughuli zozote za siasa au ushabiki wa aina yeyote, nashangaa huyo Askofu ni Anafanya kazi ya Mungu au askofu wakala wa baba wa Uongo? Pia kuna mambo mengi ya kusaidia serikali na jamii baada ya kukaa kufukiri na kuomba na kuwakilisha pamoja na kufikiri nao wameingia kwenye ushabiki usio na tija wala maana kwa wakati huu. Mpaka hapo nahakika ameshakufa kwa kujinenea yeye mwenyewe. Akumbuke KIAPO chake na Mungu anamuona ktk yote.
 
by daway who is nyerere? Si mtu kama mim wewe vipi sio kila aliosema yeye ni sheria mengine aliongea kwa interest zake binafsi.na chuki zake za kizanaki hasa kwa mtu aliyeona atamfunika nani asiyemjua huyu dikteta na mroho wa madaraka

Nyerere sio sawasawa na wewe kwanza alikuwa rais wewe sio rais wala hujawahi kuwa mjumbe wa nyumba kumi wa ccm., pia alikuwa na mawazo mapana wakati wewe yako finyu, mwisho kwa sasa anaelekea kutajwa mtakatifu wewe je unakaribia kutajwa mwenye heri??
 
Nashauri kama EL, anataka urais basi asipitie njia ya watumishi hawa, maana ndani yao kumejaa uongo na tamaa ya kuonekana wao ni watumishi kweli wa MUNGU. Kama natania kasome habari za Mfalme AHABU alipotaka kwenda kupigana MUNGU alimruhusu shetani kuweka roho ya UONGO kinywani mwa MANABII wake ili aende vitani akaangamie. Sitaki kusema kama hawa nao imekuwa hivyo ila za mbayuwayu changanya na za kwako. YATOSHA KWA SIKU UOVU WAKE. Ni ushauri tu.
 
Ndugu zangu watanzania Nyerere hakuwa mungu wa Tanzania na si kweli kuwa bila nyerere Taifa la Tanzania lisinge pata uhuru,mie naona kuwa mtu ukiwa msomi Lowassa anafaa kuwa rais wa tz. Rais wa uchina wa kwanza aitwae Maotse Dong aliendesha fitna hadi kumfunga Den shaopin na kuua vijana wake, baada ya kifo chake miaka ya 1970's Den shao pin aliusaka urais na kuupata na kuondoa mifumo dume ya kijamaa na kula kiapo kuwa endapo mipango yake ikingonga mwamba anyongwe hati mae mipango yake ilifanikisha 1978 china ilifungua milango wageni waliingia uchumi ukakuwa hadi sasa china inaongoza kiuchumi Je lowassa pamoja na kashfa zote atashindwa? ifike mahali tusitumie mambo ya Nyerere kama S.I. UNIT za future leaders. Jamani tuacheni fitna tujue nani wa kutuongozaa.
 
Back
Top Bottom