PreGE2025 Askofu Bagonza: Njia pekee ya kulinda kura yako kwa wivu mkubwa ni kukaa nayo mwenyewe ila ukiiweka tu kwenye box la kura ushaliwa tayari

PreGE2025 Askofu Bagonza: Njia pekee ya kulinda kura yako kwa wivu mkubwa ni kukaa nayo mwenyewe ila ukiiweka tu kwenye box la kura ushaliwa tayari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Sir John Deere

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
14,162
Reaction score
27,197
Kumekucha leo kwenye nyumba za Ibada habari ni uchaguzi , uchaguzi ndio habari.

Askofu wa KKKT Dr. Bagonza Leo kawaambia waumini wake njia ya kulinda kura zao ni kukaa nazo ila wakitumbukiza kwenye sanduku la kura imekula kwao. 😂

Oktoba ipo karibu sana tutajuonea mengi. Mungu tusaidie kuvuka salama
 
Kumekucha leo kwenye nyumba za Ibada habari ni uchaguzi , uchaguzi ndio habari.
Askofu wa KKKT Dr. Bagonza Leo kawaambia waumini wake njia ya kulinda kura zao ni kukaa nazo ila wakitunbukiza kwenye sanduku la kura imekula kwao. 😂

Oktoba ipo karibu sana tutajuonea mengi. Mungu tusaidie kuvuka salama
Huu upepo si mzuri, wahusika wasiposhuka chini na kuwaita wadau litawakuta jambo la aibu or awam inayokuja inaweza kuwa ngumu sana maana civilians wakigoma kutoa ushirikiano ni ishu nyingine
 
Ndugu naomba uweke kavideo kama kapo tafadhali, kuna matomaso hapa.
Kumekucha leo kwenye nyumba za Ibada habari ni uchaguzi , uchaguzi ndio habari.
Askofu wa KKKT Dr. Bagonza Leo kawaambia waumini wake njia ya kulinda kura zao ni kukaa nazo ila wakitunbukiza kwenye sanduku la kura imekula kwao. 😂

Oktoba ipo karibu sana tutajuonea mengi. Mungu tusaidie kuvuka salama
 
Shida ya huyu mzee philosophia yake iko juu sana naogopa hata kumkwesheni,
Lkn ukikaa nayo itahesabika vipi? Au anamaanisha watu wasiende kupiga kura?
Maana yake ni
downloadfile-74.jpg
 
Kumekucha leo kwenye nyumba za Ibada habari ni uchaguzi , uchaguzi ndio habari.
Askofu wa KKKT Dr. Bagonza Leo kawaambia waumini wake njia ya kulinda kura zao ni kukaa nazo ila wakitunbukiza kwenye sanduku la kura imekula kwao. 😂

Oktoba ipo karibu sana tutajuonea mengi. Mungu tusaidie kuvuka salama
Kabisa kura zetu tuzilinde wenyewe kwa kukaa nazo tu bila kudanganywa na hawa majizi
No REFORMS No ELECTION
 
Viongozi wa dini hasa wakristo ambao ndio utawala huu wa waislamu unaua viongozi na kufungia makanisa Yao watoe tamko la kuitenga hii serikali kwenye kila nyanja maana kuhusu uchaguzi hatuwezi kuwachagua mbwa hawa bado kuwafukuza kwenye mashule na hospital zetu wavaa kobazi
 
Mwandishi ni muongo hyo kauri hajaitoa Bishop Bagonza
Kama ni kwel tupe ushahidi wa video
 
Kumekucha leo kwenye nyumba za Ibada habari ni uchaguzi , uchaguzi ndio habari.

Askofu wa KKKT Dr. Bagonza Leo kawaambia waumini wake njia ya kulinda kura zao ni kukaa nazo ila wakitumbukiza kwenye sanduku la kura imekula kwao. 😂

Oktoba ipo karibu sana tutajuonea mengi. Mungu tusaidie kuvuka salama
No reform no election ni wimbo wa Taifa, hata mama akilala anaimba no reform no election
 
Kumekucha leo kwenye nyumba za Ibada habari ni uchaguzi , uchaguzi ndio habari.

Askofu wa KKKT Dr. Bagonza Leo kawaambia waumini wake njia ya kulinda kura zao ni kukaa nazo ila wakitumbukiza kwenye sanduku la kura imekula kwao.

Oktoba ipo karibu sana tutajuonea mengi. Mungu tusaidie kuvuka salama
Hivi Malasusa ni Askofu wa kanisa gani? Yeye anawaambiaje waumini wake, wailinde kura kwa kukaa nayo au watumbukize iibiwe.

Bana Askofu muhuni sana, kwa hiyo anataka wakati wa kuhesabu kura kila mmoja aende na kura yake
 
Kumekucha leo kwenye nyumba za Ibada habari ni uchaguzi , uchaguzi ndio habari.

Askofu wa KKKT Dr. Bagonza Leo kawaambia waumini wake njia ya kulinda kura zao ni kukaa nazo ila wakitumbukiza kwenye sanduku la kura imekula kwao. 😂

Oktoba ipo karibu sana tutajuonea mengi. Mungu tusaidie kuvuka salama
Ngoja tuone kama na hilo kanisa litafutwa .
 
Huu upepo si mzuri, wahusika wasiposhuka chini na kuwaita wadau litawakuta jambo la aibu or awam inayokuja inaweza kuwa ngumu sana maana civilians wakigoma kutoa ushirikiano ni ishu nyingine
Mungu ibariki Tanzania .Hapa sijachanganya ugali na mboga.No reform no election
 
Back
Top Bottom