Askofu Bagonza anena

Askofu Bagonza anena

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,380
Prof. Kabudi alipigania sana mawaziri wasitokane na wabunge. Rasimu haikutekelezwa lakini Rais ametekeleza kilio chake. Prof Kabudi si mbunge wa kuchaguliwa. Ameteuliwa. Jimbo lake ni aliyemteuwa. Mnaokosoa mna hoja gani kumpinga MTEULIWA anayemshukuru ALIYEMTEUA? -Askofu Bagonza

1127728
 
Prof. Kabudi alipigania sana mawaziri wasitokane na wabunge. Rasimu haikutekelezwa lakini Rais ametekeleza kilio chake. Prof Kabudi si mbunge wa kuchaguliwa. Ameteuliwa. Jimbo lake ni aliyemteuwa. Mnaokosoa mna hoja gani kumpinga MTEULIWA anayemshukuru ALIYEMTEUA? -Askofu Bagonza

View attachment 1127728
Dada Sky hii ni kweli ndiyo huyo askofu ni Dr wa ukweli
 
Hahaha aise alisema hivyo ?? Sad
Kwa hiyo zile nafasi kumi za Rais kuteua anayemuona anafaa kutoka kwa raia wa kawaida leo mmeitengenezea mada..!!

Kisa cha yote haya ni, nimeokotwa jalalani, nilikuwa maskini.
 
Prof. Kabudi alipigania sana mawaziri wasitokane na wabunge. Rasimu haikutekelezwa lakini Rais ametekeleza kilio chake. Prof Kabudi si mbunge wa kuchaguliwa. Ameteuliwa. Jimbo lake ni aliyemteuwa. Mnaokosoa mna hoja gani kumpinga MTEULIWA anayemshukuru ALIYEMTEUA? -Askofu Bagonza

View attachment 1127728
Baba Askofu shingoni hiyo ni n'gwalu au Boroka?
 
Profesa kalamaganda kabugi
Dr. Kikula mkumbo
Mwita tamisemi
Hawa wote ni diraless wachumia tumbo
 
Back
Top Bottom