Yeye si alisema alivunja kioo (labda ndiyo sababu alifukuzwa seminary)Mambo ya Seminari ni magumu Mkuu.
Yeye si alisema alivunja kioo (labda ndiyo sababu alifukuzwa seminary)Mambo ya Seminari ni magumu Mkuu.
Jifunzeni elimu haina mwisho...bado mnahitaji elimu mambo mengi watanzania hamjui... Nyie ndio wale wale mnaopandisha bei za mafuta ya taa ili wasichakachue petrol... Uwezo wa watanzania kutumia ubongo ni mdogo sana..HUYU SI ASKOFU WA KUTUNUKIWA BALI WA KUJITUNUKU.
MAMA SALMA KIKWETE ANAMZIDI FALSAFA YA MAMBO YA DINI, MILA NA DESTURI KUHUSU KUPATA MIMBA KWA NJIA ZA UZINZI.
MAMA SALMA ALISEMA MTOTO WA KIKE AKIBEBA MIMBA, AMETENDA DHAMBI NA PIA KIMILA HAIKUBALIKI.
MTOTO WA KIKE AKIBEBA MIMBA KWA KUBAKWA ATAKUWA AMETANDA DHAMBI BILA KUKUSUDIA NA HII TUNAMWACHIA YEYE NA MUNGU WAKE.
KISERIKALI KUTOKURUHUSU MSICHANA KURUDI SHULENI BAADA YA KUJIFUNGUA KUNASAIDIA SANA KUPUNGUZA IDADI YA MIMBA SHULENI KWA SABABU INAMFANYA MTOTO WA KIKE KUKWEPA KUFANYA NGONO ZEMBE NA KUJIACHIA AKIJUA KUWA HATA AKIBEBA MIMBA ATARUDI SHULENI.
Jipya analo kwani wanaokatishwa masomo ni watoto wetu. Mtetezi mwenye faida wananchi ndo tunamtaka kwa ajili kuwasemea mimi ambaye sina pa kusema.Askofu Benson Bagonza anafahamika vizuri hata kabla hajawa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe. Akitumia matoleo na sadaka za wakristu tena masikini aliunga mkono na kusaidia wagombea wote wa upinzani katika jimbo la Karagwe na Kyerwa mwaka 2000, 2005, 2010 na 2015. Mtandao wake wote unafahamika na hana jipya huyo. Dayosisi ya Karagwe imemshinda na amewaletea waamini mgawanyiko mkubwa, leo anaanza kumsakama Mhe. Rais wetu kwa kutumia lugha ya picha. Ashindwe kwa Jina la Yesu aliye HAI pamoja na hila zake zote. Muache Rais wa wanyonge aendelee kutupigania Watanzania.
SureNa atakuwa anachangia pato la taifa kwa kiasi kikubwa...na kapunguza unemployment rate au dependancy ratio za nchi.
Kuna Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama flani alimpa mimba mwanafunzi! Hapo ikawa mwisho wa Ualimu. Siasa ikambeba yeye na Mwanae. Sijui yule mwanafunzi mimba aliipeleka wapi!Waliofukuzwa huko walikokuwa wanasona teh teh teh askofu kula tano
Unaacha kujadili hoja, unajadili mtu.Askofu Benson Bagonza anafahamika vizuri hata kabla hajawa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe. Akitumia matoleo na sadaka za wakristu tena masikini aliunga mkono na kusaidia wagombea wote wa upinzani katika jimbo la Karagwe na Kyerwa mwaka 2000, 2005, 2010 na 2015. Mtandao wake wote unafahamika na hana jipya huyo. Dayosisi ya Karagwe imemshinda na amewaletea waamini mgawanyiko mkubwa, leo anaanza kumsakama Mhe. Rais wetu kwa kutumia lugha ya picha. Ashindwe kwa Jina la Yesu aliye HAI pamoja na hila zake zote. Muache Rais wa wanyonge aendelee kutupigania Watanzania.
Mimba yenywe ndiyo huyo mwanae unaemuongelea.Kuna Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama flani alimpa mimba mwanafunzi! Hapo ikawa mwisho wa Ualimu. Siasa ikambeba yeye na Mwanae. Sijui yule mwanafunzi mimba aliipeleka wapi!
Sent using Jamii Forums mobile app
=======Askofu Benson Bagonza anafahamika vizuri hata kabla hajawa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe. Akitumia matoleo na sadaka za wakristu tena masikini aliunga mkono na kusaidia wagombea wote wa upinzani katika jimbo la Karagwe na Kyerwa mwaka 2000, 2005, 2010 na 2015. Mtandao wake wote unafahamika na hana jipya huyo. Dayosisi ya Karagwe imemshinda na amewaletea waamini mgawanyiko mkubwa, leo anaanza kumsakama Mhe. Rais wetu kwa kutumia lugha ya picha. Ashindwe kwa Jina la Yesu aliye HAI pamoja na hila zake zote. Muache Rais wa wanyonge aendelee kutupigania Watanzania.
Mbona tunaukumbatia unyonge kama vile ni sifa kuwa mnyonge?. Nchi huru bado tunaimba wimbo wa unyonge? Ni aibu kuendelea kuwa na taifa huru la wanyonge!!Askofu Benson Bagonza anafahamika vizuri hata kabla hajawa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe. Akitumia matoleo na sadaka za wakristu tena masikini aliunga mkono na kusaidia wagombea wote wa upinzani katika jimbo la Karagwe na Kyerwa mwaka 2000, 2005, 2010 na 2015. Mtandao wake wote unafahamika na hana jipya huyo. Dayosisi ya Karagwe imemshinda na amewaletea waamini mgawanyiko mkubwa, leo anaanza kumsakama Mhe. Rais wetu kwa kutumia lugha ya picha. Ashindwe kwa Jina la Yesu aliye HAI pamoja na hila zake zote. Muache Rais wa wanyonge aendelee kutupigania Watanzania.
Jipya analo kwani wanaokatishwa masomo ni watoto wetu. Mtetezi mwenye faida wananchi ndo tunamtaka kwa ajili kuwasemea mimi ambaye sina pa kusema.
Baba askofu ushukuriwe kwa kazi kubwa ya kutusemea .
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemsikiliza Askofu, nimerudia mara kadhaa. Sioni msingi wa mahubiri yake uliko. Ukiacha Siasa zako, hebu niambie alisimama na kitabu kipi?Umeandika kwa kutumia Akili ya mtawala wako rudia tena kumsikiliza Askofu Bagonza anamaanisha nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ikitokea amepata, inasaidiaje?HUYU SI ASKOFU WA KUTUNUKIWA BALI WA KUJITUNUKU.
MAMA SALMA KIKWETE ANAMZIDI FALSAFA YA MAMBO YA DINI, MILA NA DESTURI KUHUSU KUPATA MIMBA KWA NJIA ZA UZINZI.
MAMA SALMA ALISEMA MTOTO WA KIKE AKIBEBA MIMBA, AMETENDA DHAMBI NA PIA KIMILA HAIKUBALIKI.
MTOTO WA KIKE AKIBEBA MIMBA KWA KUBAKWA ATAKUWA AMETANDA DHAMBI BILA KUKUSUDIA NA HII TUNAMWACHIA YEYE NA MUNGU WAKE.
KISERIKALI KUTOKURUHUSU MSICHANA KURUDI SHULENI BAADA YA KUJIFUNGUA KUNASAIDIA SANA KUPUNGUZA IDADI YA MIMBA SHULENI KWA SABABU INAMFANYA MTOTO WA KIKE KUKWEPA KUFANYA NGONO ZEMBE NA KUJIACHIA AKIJUA KUWA HATA AKIBEBA MIMBA ATARUDI SHULENI.