Yesu HAKUWAHI KUJENGA KANISA.
HUO NI UONGO!
Mjenga kanisa ni PETRO na YESU akaliita ni KANISA LA SHETANI.
Na wala YESU KTK MAISHA YAKE YOTE HAKUWAHI KUSALI KANISANI.
Matayo 16:23
Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u kikwazo kwangu; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.-
Mathayo 16:16 Yesu akamwambia petro wewe u-mwamba na juu ya mwamba huu
nitalijenga KANISA YAANI KANISA JUU YA MWAMBA (SHETANI PETRO)
Kwa mujibu qa maneno ya YESU MAKANISA YOOTE NI YA SHETANI.
Na km una andiko llt la yesu au hata wale wanafunzi wake 12 kujenga KANISA nionyeshe.
Lkn USINILETEE HABARI ZA SHETANI PAULO.
Kanisa si jengo.alafu kukurupuka na mstari bila kujua muktadha wa neno hilo ni upuu....z.Ktakacho msaidia mtu kwenda pepon si mihemko kama yako wala kanisa au msikit unao sali.ni matendo yako.Sasa jitafakari wewe kwanza peponi unaenda?
hiyo ni aina gani ya bible askofu alikuwa akimfundisha huyo binti?
daaaaaaaaah
Dogo alienda kudiskasi civics na binti wa mwombeki,sasa mwombeki akatamani ndo akala mzigo
Umesahau na yule mbakaji aliye mshikiza mtoto quaran.
Ngoja Sheikh kahtaan aone hii...
Kanisa si jengo.alafu kukurupuka na mstari bila kujua muktadha wa neno hilo ni upuu....z.Ktakacho msaidia mtu kwenda pepon si mihemko kama yako wala kanisa au msikit unao sali.ni matendo yako.Sasa jitafakari wewe kwanza peponi unaenda?
Hivi wewe mtoa mada una droo attention ya watu eti ! Askofu , uaskofu kapewa nanani au mtu akijivutia mabangi yake mtaani na kujiaata askofu na ninyi mnasema askofu? uaskofu una hehima zake na taratibu zake za kusimikwa. Kwa yali makanisa yaiotoroka ROMAN CATHOLIC na kwenda kujianzishia vikanisa vyao wakasahau kubeba sylubus ya namna ya kuandaa viongozi wakanisa warudi wakampigie magoti PAPA au askofu wa mahala husika. Tofauti na hapo watu watakuwa wanajitundika majina makubwa ambayao hawajasomea wala kusimikwa na kuishia kuchafua majina ya watu waliorasimishwa
Hivi wewe mtoa mada una droo attention ya watu eti ! Askofu , uaskofu kapewa nanani au mtu akijivutia mabangi yake mtaani na kujiaata askofu na ninyi mnasema askofu? uaskofu una hehima zake na taratibu zake za kusimikwa. Kwa yali makanisa yaiotoroka ROMAN CATHOLIC na kwenda kujianzishia vikanisa vyao wakasahau kubeba sylubus ya namna ya kuandaa viongozi wakanisa warudi wakampigie magoti PAPA au askofu wa mahala husika. Tofauti na hapo watu watakuwa wanajitundika majina makubwa ambayao hawajasomea wala kusimikwa na kuishia kuchafua majina ya watu waliorasimishwa
Haya makanisa yaanzishwa kama SACCOS ndiyo madhara yake hayo, Mtu anasajili kikundi chake na tena chawezekana ni cha familia halafu anajiita askofu lakini matendo yake ni yale yale ya ushetani...na wengine wametimuliwa kwenye makanisa yao ya awali kwa sababu ya mambo ya kishetani kama haya, sasa badala ya kutubu anakimbilia kuanzisha eti kikanisa, sasa unategemea nini kama sio kuongeza mapepo ya ngono kila mahali.
Askofu wa Kanisa la Tanzania Field Avangelism ,Edson Mwombeki(42) amefikishwa mahakamani kwa kosa la kumbaka mwanafunzi mwenye miaka 16.
Mwanafunzi huyo alikwenda nyumbani kwa Askofu kujisomea pamoja na binti wa Mwombeki.
credt:Mwananchi.
huko kwa papa watoto si ndo wanakonajisiwa?
kahtaan hii haikuhusu au imekuchoma,teh!Tumeshuhudia Aisha akibakwa na watoto wa kiume wa Ali wakipigwa romsnce(French kiss) na mtume. pengine tujue kesi ya mj tujue alikuwa akiwa -do kitu gani watogo.So ubakaji haukuanz Leo.every toungue the prophet kissed will not tormented in the hell fire. Why?
Umefanya uchunguzi wa kina au ndo unatuletea tukupa data?
Maaskofu,mapasta,wachungaji wabaya sana eti wanaitwa watumishi wamungu,badala yakuitwa watumishi shetani