Askofu Ashutumiwa kubaka huko Mwanza

Status
Not open for further replies.

Angeanza kunyongwa kwanza yule ustaadhi wa chamazi aliemchinja mtoto baada ya kumla 0713
 
Last edited by a moderator:
Msihusishe matendo ya mtu na imani yake . Kwani ayatendaye ni kinyume na imani yake inavyofundisha hivyo huyu mtu ni mkengeufu kama walivyo wakengeufu wengine wasio na imani. Mungu atusaidie sana kwani sote tu katika hali ya udhaifu kila kunakoitwa Leo. Leo mwenzetu kanyolewa basi nasi vichwa tuvitie majii.
 

Hii imani haitokufa...hakuna wa kuiua
 
Aliyenyolewa ni nani hapa?

Mbakaji? Au yule ALIYEBAKWA?
Manake haya mafumbo mengine isije ikawa unawaambia wanakondoo wakae tayari kubakwa tu!

Hao VIONGOZI WA MAKANISA wanaobaka wanatakiwa WAKANYONGWE TU!

Watamaliza WATOTO WA WATU.

Mbakaji ndio mnyolewaji Mkuu huu ni udhaifu wa mtu binafsi na kila mmoja anaudhaifu wake hivyo tuchukue hili kama funzo kwa kila mmoja kujua jinsi ya kuuweza mwili wake katika heshima. Hili haliangalii kwamba wewe ni mch. Sheikh . Au raia au kiongozi wa nchi.
 
Watoto waende wapi sasa?
Kanisani wanabakwa,
Shule wanatekwa na alshabab,
Msikitini??
 
Reactions: Luv
Mapadre noma kwa kubaka makandoo.
 

Kristo alisema analijenga kanisa katika mwamba imara ni malango ya kuzimu hayataliweza. Kumbuka pia nabii Eliya alienda kwa Mungu kulalamika kuwa manabii wote wameuwawa na amebakia pekee Mungu akamjibu kuwa wako manabii elfu wengine ambao hawasujudu ktk madhabahu ya baari. Hivyo Mkuu Mungu ana watu wengi sana wanaomcha na wengine wanazaliwa. Hivyo wanaobaka wanakwenda jela kizazi kingine chenye kiu ya Mungu kimainuka na kuchukua nafasi.
 
Watoto waende wapi sasa?
Kanisani wanabakwa,
Shule wanatekwa na alshabab,
Msikitini??

Kesi za utekaji ni moja tu! Na haikutokea MSIKITINI.

LKN KESI ZOTE ZA UBAKAJI ZA VIONGOZI WA MAKANISA ZINAFANYWA na MAPADRI, WACHUNGAJI NA MAASKOFU almost 99% NI NDANI YA MAKANISA.

Na HATA SIKU MOJA HUJASIKIA HAPO TZ watoto wakatekwa miskitini.
 
Hivi siku hizo hiki cheo cha Uaskofu hakina maana au kulikoni? Utakuta mtu ameishia darasa la Saba tu anajifunza biblia Mara utasikia mchungaji and after a year ameshakuwa askofu .,....imakuaje sasa? Ndo Hawa ambao sasa hawana maadili


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Makafiri ni majini tu.hakuna binadamu kafiri.
 
Ilo ni kosa la mtu binafsi na si muongozo wa biblia.Jamii yote kwa sasa imeoza.Kikubwa ni kumrudia Mungu.
 

Yesu HAKUWAHI KUJENGA KANISA.

HUO NI UONGO!

Mjenga kanisa ni PETRO na YESU akaliita ni KANISA LA SHETANI.

Na wala YESU KTK MAISHA YAKE YOTE HAKUWAHI KUSALI KANISANI.

Matayo 16:23

Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u kikwazo kwangu; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.-

Mathayo 16:16 Yesu akamwambia petro ” wewe u-mwamba na juu ya mwamba huu
nitalijenga KANISA” YAANI KANISA JUU YA MWAMBA (SHETANI PETRO)

Kwa mujibu qa maneno ya YESU MAKANISA YOOTE NI YA SHETANI.

Na km una andiko llt la yesu au hata wale wanafunzi wake 12 kujenga KANISA nionyeshe.
Lkn USINILETEE HABARI ZA SHETANI PAULO.
 

Kubaka hakuna darasa ni dhambi na utovu wa nidham.ata prof Juma si alibaka au?
 
Bokoharam, Al Shabab, Al Quida na makundi mengine kama hayo ndo mafunzo ya Uislamu kwa mtazamo wako, sikujua. Kosa la mtu individual au kikundi haliwezi kuwa base ya judgement universally. Tutagawanyika sana lakini mwisho wa siku anayefaidika na mgawanyiko huo ni shetani. Tusikubali kutumika na shetani.
 

Kubaka hakuna darasa ni dhambi na utovu wa nidham.ata prof Juma si alibaka au?

Definately
 
Askofu wa Kanisa la Tanzania Field Avangelism ,Edson Mwombeki(42) amefikishwa mahakamani kwa kosa la kumbaka mwanafunzi mwenye miaka 16.

Mwanafunzi huyo alikwenda nyumbani kwa Askofu kujisomea pamoja na binti wa Mwombeki.

credt:Mwananchi.

Ngoja Sheikh kahtaan aone hii...
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…