Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,449
- 574
Kuna askofu wa kanisa la anglikana wa zanzibar Michael Hafidh amekimbia makaz zanzibar kwa kuhofia usalama wake mara baada ya kutishiwa na UAMSHO.
Chanzo: BBC
Chanzo: BBC
Jumuia ya uamusho wametoa onyo kuwa kama amiri wao hajapatikina mpaka leo basi watachinja mapdri na polisi. Jana waliekwenda makaburini na kungoa misalaba yote ya makaburi na kuitupa barabarani na kuharibu hosteli inayomilikiwa na kanisa la Anglicana mkunazini.
Ni kweli hata mm nimesikia, na walifukua makaburi ya wakristo wakazibonda maiti kwa maweJumuia ya uamusho wametoa onyo kuwa kama amiri wao hajapatikina mpaka leo basi watachinja mapdri na polisi. Jana waliekwenda makaburini na kungoa misalaba yote ya makaburi na kuitupa barabarani na kuharibu hosteli inayomilikiwa na kanisa la Anglicana mkunazini.
Mungu wangu!!hawa watu wana akiri sawa swa huku vichwani mwao!!hadi marehemu wanashida nao!!!!Ni kweli hata mm nimesikia, na walifukua makaburi ya wakristo wakazibonda maiti kwa mawe
Ni kweli hata mm nimesikia, na walifukua makaburi ya wakristo wakazibonda maiti kwa mawe
Ni kweli hata mm nimesikia, na walifukua makaburi ya wakristo wakazibonda maiti kwa mawe
Kichapo cha Leo si haba