Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,706
- 272,588
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, Camillius Wambura amesema polisi wote wanapaswa kukaa kambini ili kurahisisha upatikanaji wao. Kauli hiyo ya kisheria ameitoa alipokuwa akizungumza na askari hao mkoani Kilimanjaro.
Swali dogo ni hili je, itakuwaje kwa wale askari walioanzisha matawi ya familia mitaani?
Swali dogo ni hili je, itakuwaje kwa wale askari walioanzisha matawi ya familia mitaani?
