Askari wa kituo cha polisi Wazo Hill ni jipu

uwemba1

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
987
716
Kituo hiki ni tatizo kwanza askari wake hawana kauli nzuri. Mfano unaingia tu ni kufokewa kabla hujaeleza shida. Lakini kubwa kuliko ni rushwa ya wazi wazi, wanakamata vijana wa boda boda kisha wanabambikia makosa. Mdogo wangu aliambiwa anatumia bodaboda inayodhaniwa ya wizi. Ajabu akawekwa ndani kwa siku nne mfululizo bila ya kufikishwa mahakamani na tunapoenda kumwekea dhamana na barua ya serikali ya mtaa wanadai tutoe hela, mara anaepeleleza shauri lake hayupo, tumezungushwa kisha tumekwama na kutoa hela ndipo ameachiwa na pikipiki.

Pia kuna tatizo la waharibu mazingira Mto Nyakasangwe ambapo askari hawa hushirikiana na wamiliki wa malori kwa kuchukua rushwa ya 5000 hadi 30000 kutegemea na ukubwa wa gari. Imefikia wakati wananchi wanaolalamika au kuonesha kupinga hili wanarudi nyuma maana rushwa hizi zinachukuliwa hadharani. Tulienda mpaka NEMC ajabu waliwapowashirikisha polisi hawa tu kwenda kuwakamata waharibifu hawa, kwanza waliwapigia simu kuwataarifu waondoe malori lakini pia wakawapitisha njia ambayo si ile wanayopita wenye maroli ili wasikute matokeo yake wakafelisha zoezi.

Matokeo yake mpaka leo mto unazidi kutanuka na kutishia usalama wa makazi ya watu na mafuriko. Waziri Mwigulu Nchemba kwa kuwa ni member humu please mulika kituo hiki. Hata kwa kutumia mbinu zozote kama zile za Mrema enzi zake. Naamini utajua mengi sana yanayoendelea hapa wananchi tunanyanyasika sana badala ya kutuaaidia.

Kuna siku kituko kilitokea walienda huko bondeni ajabu wakachukua rushwa ya Sh 30,000 wakiwa na askari wapya. Mkubwa wao wakagawana isivyo wakagombana na kutaka kupigana kugombea hiyo rushwa. Je hao askari wapya watafanyaje baadae kidogo wakizoea????
 
Kituo hiki ni tatizo kwanza polisi wake hawana kauli nzuri mfano unaingia tu ni kufokewa kabla hujaeleza shida. Lakini kubwa kuliko ni rushwa ya wazi wazi, wanakamata vijana wa boda boda kisha wanabambikia makosa mfano mdogo wangu aliambiwa anatumia bodaboda inayodhaniwa ya wizi. Ajabu akawekwa ndani kwa siku nne mfululizo bila ya kufikishwa mahakamani na tunapoenda kumwekea dhamana na barua ya serikali ya mtaa wanadai tutoe hela, mara anaepeleleza shauri lake hayupo, tumezungushwa kisha tumekwama na kutoa hela ndipo ameachiwa na pikipiki. Pia kuna tatizo la waharibu mazingira Mto Nyakasangwe ambapo Polisi hawa hushirikiana na wamiliki wa malori kwa kuchukua rushwa ya 5000 hadi 30000 kutegemea na ukubwa wa gari. Imefikia wakati wananchi wanaolalamika au kuonesha kupinga hili wanarudi nyuma maana rushwa hizi zinachukuliwa hadharani. Tulienda mpaka NEMC ajabu waliwapowashirikisha polisi hawa tu kwenda kuwakamata waharibifu hawa, kwanza waliwapigia simu kuwataarifu waondoe malori lakini pia wakawapitisha njia ambayo si ile wanayopita wenye maroli ili wasikute matokeo yake wakafelisha zoezi. Matokeo yake mpaka leo mto unazidi kutanuka na kutishia usalama wa makazi ya watu na mafuriko. Waziri Mwigulu Nchemba kwa kuwa ni member humu please mulika kituo hiki. Hata kwa kutumia mbinu zozote kama zile za Mrema enzi zake. Naamini utajua mengi sana yanayoendelea hapa wananchi tunanyanyasika sana badala ya kutuaaidia. Kuna siku kituko kilitokea walienda huko bondeni ajabu wakachukua rushwa ya Sh 30,000 wakiwa na askari wapya. Mkubwa wao wakagawana isivyo wakagombana na kutaka kupigana kugombea hiyo rushwa. Je hao askari wapya watafanyaje baadae kidogo wakizoea????
he umenikumbusha niliwahi kupigana na mkuu wa kituo kidogo cha polisi tabata kama sikosei anaitwa monica ......... miaka kama 5 iliyopita kisa nimepeleka mdai yangu nikatoa maelezo mpaka mwisho yeye anachat na simu kisha ananiambia nirudie kudaaadeki
 
Kituo hiki ni tatizo kwanza askari wake hawana kauli nzuri. Mfano unaingia tu ni kufokewa kabla hujaeleza shida. Lakini kubwa kuliko ni rushwa ya wazi wazi, wanakamata vijana wa boda boda kisha wanabambikia makosa. Mdogo wangu aliambiwa anatumia bodaboda inayodhaniwa ya wizi. Ajabu akawekwa ndani kwa siku nne mfululizo bila ya kufikishwa mahakamani na tunapoenda kumwekea dhamana na barua ya serikali ya mtaa wanadai tutoe hela, mara anaepeleleza shauri lake hayupo, tumezungushwa kisha tumekwama na kutoa hela ndipo ameachiwa na pikipiki.

Pia kuna tatizo la waharibu mazingira Mto Nyakasangwe ambapo askari hawa hushirikiana na wamiliki wa malori kwa kuchukua rushwa ya 5000 hadi 30000 kutegemea na ukubwa wa gari. Imefikia wakati wananchi wanaolalamika au kuonesha kupinga hili wanarudi nyuma maana rushwa hizi zinachukuliwa hadharani. Tulienda mpaka NEMC ajabu waliwapowashirikisha polisi hawa tu kwenda kuwakamata waharibifu hawa, kwanza waliwapigia simu kuwataarifu waondoe malori lakini pia wakawapitisha njia ambayo si ile wanayopita wenye maroli ili wasikute matokeo yake wakafelisha zoezi.

Matokeo yake mpaka leo mto unazidi kutanuka na kutishia usalama wa makazi ya watu na mafuriko. Waziri Mwigulu Nchemba kwa kuwa ni member humu please mulika kituo hiki. Hata kwa kutumia mbinu zozote kama zile za Mrema enzi zake. Naamini utajua mengi sana yanayoendelea hapa wananchi tunanyanyasika sana badala ya kutuaaidia.

Kuna siku kituko kilitokea walienda huko bondeni ajabu wakachukua rushwa ya Sh 30,000 wakiwa na askari wapya. Mkubwa wao wakagawana isivyo wakagombana na kutaka kupigana kugombea hiyo rushwa. Je hao askari wapya watafanyaje baadae kidogo wakizoea????
Wazo ni shiida, mara kibao majambazi wakiingia nyumba za jirani wakipigiwa wanadai gari zipo mbali, mara nyingi wanakua wanahangaika na Bandari bubu Bunju maana ndo kuna maslahi
 
Mkuu wa kanda ya Kawe ya kipolisi anaitwa MALULU kama sikosei; amefanya mikutano mingi juu ya ulinzi shirikishi na kutaka jamii ishirikiane na polisi kuthibiti uhalifu, kitu cha kushangaza ni kuwa hata baada ya wananchi kutoa ushirikiano kwa polisi ahadi zake za kuthibiti uhalifu katika sehemu amabzo alielezwa zina matatizo hazijatimizwa!! Mfano ni pale sehemu za MBEZI BEACH A ambapo alielezwa kuhusu sehemu inayoitwa RUNGWE KWA NYERERE ambapo ndipo uhalifu wote wa MBEZI unapangwa na kufanyika lakini mpaka sasa hakuna hatua zozote za kuonekana zimechukuliwa na uhalifu bado unaendelea!! Wezi wanaiba na kuleta vitu pale RUNGWE na bajaj zinabeba vitu vya wizi usiku kucha kupeleka sehemu nyingine!! Kama ujumbe huu utawafikia wahusika tafadhalini mchukue hatua haraka!! Mwigullu upo??
 
Nahisi hawa jamaa hakunaga mtu wa kuwa monitor ni kama wao ndio kila kitu maana wanafanya mambo bila hofu. Hizi inteligensia wanazotuambia mara kadhaa kwa nini zinachagua mambo ya kuona??? Mambo yalio wazi hazioni kabisa ajabu.
 
Back
Top Bottom