Kamanda Mpinga, askari wako wa barabarani (Trafik) mwenye Namba F.3652. Ni mfupi mweupe.
Leo muda mfupi uliopita kanisimamisha nikiwa naendesha gari maeneo ya makutano ya barabara ya shekilango na Morogoro, baada ya kuona sina kosa akanambia nimpe elfu 10,000 niende nikakataa akaamua kuniandikia faini eti side mirror ina cracks.
TAKUKURU na wanaohusika mchunguzeni.
Leo muda mfupi uliopita kanisimamisha nikiwa naendesha gari maeneo ya makutano ya barabara ya shekilango na Morogoro, baada ya kuona sina kosa akanambia nimpe elfu 10,000 niende nikakataa akaamua kuniandikia faini eti side mirror ina cracks.
TAKUKURU na wanaohusika mchunguzeni.