Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,338
Lengo la haya mazoezi ni nini?najaribu kuvuta picha kama hilo la kuvunjiwa matofari kichwani?au ni uvumilivu wa kujiandaa kuwa mateka
Hiyo ya kujenga mazingira ni kweli inaweza fanyika.ninachokipinga mimi ni kitendo cha kusema moja kwa moja huyu mtoto ni chakula cha wa kubwa bila kuwa na ushahidi.Ni kweli ila kanaweza jengewa mazingira mpaka kanaingia mkenge
Amependeza.........hata haendani na mambo ya kupigana na bricks.
Ni tabia ya mtu!siamini Kama atalazimishwa.
Hivi haya ndo mafunzo ya polisi siku hizi?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sijui kamekosa nini jamani!
Hivi haya ndo mafunzo ya polisi siku hizi?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
ni katika kutekeleza lile azimio la wapigwe tu, tushachoka sasa