Safi sana!nimependa ukakamavu huu
Safi sana!nimependa ukakamavu huu
.
Ni tabia ya mtu!siamini Kama atalazimishwa.
hutu huwa tunakuwaga tuchakula twa wazee
arusha kapo kamoja pale makao makuu aisee!!!
Mbona unajichumia dhambi bila sababu?kwanini kusema usiyo na uhakika nayo?unataka kuniambia kila Askari wa kike mwenye mvuto ni chakula cha wa kubwa na ameanzia chuoni?inamaana haujui kuwa ni tabia ya mtu!umemkosea sana huyu mtoto!chakula ya wazee hiyo, Mpaka kufika hapo keshapitia mengi hapo Kambini, sema hasemi tu!
Mama timmy HEBU FUTA TONGOTONGO KIDOGO HAPO CHINI.Mbona unajichumia dhambi bila sababu?kwanini kusema usiyo na uhakika nayo?unataka kuniambia kila Askari wa kike mwenye mvuto ni chakula cha wa kubwa na ameanzia chuoni?inamaana haujui kuwa ni tabia ya mtu!umemkosea sana huyu mtoto!
Mimi sipendi kusafiri kwa nyota ya mwingine.kama jkt wamebakwa ninaamini siyo wote na Kama Askari wa kike ni chakula cha wa kubwa Kama usemavyo ninaamini si wote na huyu mtoto anaweza asiwe hivyo umfikiriavyo!usipende kumpoint mtu moja kwa moja bila kuwa na ushahidi.inaumiza sanaMama timmy HEBU FUTA TONGOTONGO KIDOGO HAPO CHINI.
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/494077-ubakaji-jkt-mafunzoni-2.html
huyu akija kunikamata raster kama mimi nakula denda kwanzaa...ka kiuti kwelii,anajifanya anaruka kijet li na kuvunja vigae.....mi nanoa panga ruka usitue
Sijui kamekosa nini jamani!
...Umesoma mawazo yangu!?Hivi haya ndo mafunzo ya polisi siku hizi?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ni tabia ya mtu!siamini Kama atalazimishwa.