Askari (polisi) kuhamishia vituo vyao vya polisi barabarani

Mr. MTUI

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
8,130
8,330
Katika vitu vinavyonishangaza Ni uwingi wa Askari BARABARANI hasa mida ya asubuhi(watu wakienda makazini) na wakati wa jioni.

Yanayonishangaza zaidi

➡ Jinsi wanavyoyarukia Magari pale wanapogundua mtu amefanya kosa ata Kama ni kosa Dogo kiasi gani.
➡Uwepo wa Askari barabara Hadi wenye nyota nyingi begani..Ni kweli wanafanya hivi ili kutulinda sisi wananchi?
➡Kujipanga kwenye eneo moja Askari zaidi ya watano Ni kweli Kuna haha ya kuwa na Askari wengi hivinl kwenye point moja!!!
 
Jungu kuu halikosi ukoko..kwa askari polisi Barabara kuu ni majungu makuu hayakosi ukoko ..
 
Katika vitu vinavyonishangaza Ni uwingi wa Askari BARABARANI hasa mida ya asubuhi(watu wakienda makazini) na wakati wa jioni.
Yanayonishangaza zaidi
➡ Jinsi wanavyoyarukia Magari pale wanapogundua mtu amefanya kosa ata Kama ni kosa Dogo kiasi gani.
➡Uwepo wa Askari barabara Hadi wenye nyota nyingi begani..Ni kweli wanafanya hivi ili kutulinda sisi wananchi?
➡Kujipanga kwenye eneo moja Askari zaidi ya watano Ni kweli Kuna haha ya kuwa na Askari wengi hivinl kwenye point moja!!!
Wale wengi wametumwa mapato , yaani ni TRAFFICK -TRA DEPARTMENT.
serikali imeamua kutumia polisi kukusanya fedha, maana biashara zinafungwa, hakuna kitu, watu wanaacha kazi, mke wa azory, saa nane, mawazo, ni nwajane, nchi ndipo tulipo.
 
Unaongelea Mwanza wewe, yaani watu kama chatu mwenye njaa, KWELI ATI HAKUNA KOSA DOGO WALA KUONYWA kwa maneno; WACHA vyuma vika....
Yani jamaa wakiona umekosea kidogo wanakuweka pembeni ..utafukiri wenyewe hawakoseagi
 
Poor Human resource management.
Hii nguvu kazi kubwa haitumiki sawasawa. Kuna vituo vingi vya Polisi mikoani havina askari wa kutosha na iwafanya kushindwa kufika kwenye maeneo ya uhalifu kwa sababu ya kukosa askari wa kubaki ofisini.
Kila askari anatumia kila mbinu ili ahamishiwe Traffic.
Kupelekwa kwenye vituo vya kawaida vya Polisi ni sawa na kupewa adhabu.
Hili linaweza kurekebishwa kwa kuwa na mfumo wa rotation.
Askari asikae eneo moja kwa muda mrefu.
 
Poor Human resource management.
Hii nguvu kazi kubwa haitumiki sawasawa. Kuna vituo vingi vya Polisi mikoani havina askari wa kutosha na iwafanya kushindwa kufika kwenye maeneo ya uhalifu kwa sababu ya kukosa askari wa kubaki ofisini.
Kila askari anatumia kila mbinu ili ahamishiwe Traffic.
Kupelekwa kwenye vituo vya kawaida vya Polisi ni sawa na kupewa adhabu.
Hili linaweza kurekebishwa kwa kuwa na mfumo wa rotation.
Askari asikae eneo moja kwa muda mrefu.
maaaskari wengi wanapenda Dar, hata jiwe mwenyewe na mbwe mbwe zake za kuhamia Dodoma kashindwa
 
Back
Top Bottom