Askari aliyetorosha ndege ya JWTZ

Askari aliyetorosha ndege ya JWTZ

Ground Zero

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
342
Reaction score
95
Habari wanaJF,

Nilisoma habari kwenye Jambo Leo kama alivyonukuliwa msemaji mstaafu wa JWTZ Kanali Mgawe.

"Kwa mujibu wa kamanda huyo mstaafu, hakuweza kutimiza ndoto yake ya kuwa rubani kutokana na mwanajeshi mwezake aliejulikana kwa jina la Pascal Nzuki, kufanya utundu wa kutorosha ndege ya jeshi kwenda Visiwa vya Comoro na kufanya kikosi cha wanajeshi wote waliomaliza fani hiyo kuvunjwa na yeye kuhamishiwa kikosi cha miguu". Kanali Mgawe astaafu jeshi | JAMBO LEO

Shida yangu

WanaJF wanaojua historia watusaidie. Nini kilitokea kwa askari Pascal, ndege ilirudi au ilitokomea? Je, kulikuwa na uhusiano na vita vya ukombozi au Idd Amin?
 
Back
Top Bottom