Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,248
- Thread starter
- #61
Aisee Kamanda anazidi kuibua mjadala mzito mkubwa zaidi
Nahitaji kujua iyo sheria ya secondment tu-construe.
...je vyama vingine vya siasa(Chadema,CUF,TLP,UDP,NCCR nk) nao pia kwa kuitumia sheria hiyo wanaruhusiwa kuchukuwa wanajeshi na kuwapa kazi zao za kisiasa?...