Askari 14,600 wakimbia vita wakiogopa kuingia Gaza kupambana na Hamas.IDF yatafuta diaspora wake kuziba pengo

Askari 14,600 wakimbia vita wakiogopa kuingia Gaza kupambana na Hamas.IDF yatafuta diaspora wake kuziba pengo

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
10,488
Reaction score
16,646
Wakati Netanyahu akidhamiria kuiteka Gaza yote,vita vinaelekea kuchukua mwelekeo wa ajabu na kwisha kwa namna moja au nyengine .

Jumla ya idadi hiyo ya askari wamekimbia vita na mshike mshike imekuwa kubwa sana na ndio sababu Israel imekwama kuendelea na kupeleka jeshi Gaza kwa haraka iliyoidhinishwa na viongozi wenye msimamo mkali ambao wanamuunga mkono Netanyahu.

Hamas wametangaza kukubali kusitisha vita na wakati huo huo wameweka wazi kuwa askari watakaoingia jijini Gaza City basi wasitegemee kuingia kama kwamba wanaingia kwenye mbuga za wanyama kwa burudani.

Viongozi wastaafu wa jeshi la IDF wamesikika wakisema kwamba hatua ya kuingia Gaza kwa namna iliyopendekezwa na Netanyahu litapelekea maafa makubwa kwa askari wa nchi hiyo.

IDF considers recruiting from Diaspora due to severe manpower shortages

Mshike mshike ya kutafuta askari iko kama hivi hapo chini,
1755623333243.png
 
Wakati Netanyahu akidhamiria kuiteka Gaza yote,vita vinaelekea kuchukua mwelekeo wa ajabu na kwisha kwa namna moja au nyengine .

Jumla ya idadi hiyo ya askari wamekimbia vita na mshike mshike imekuwa kubwa sana na ndio sababu Israel imekwama kuendelea na kupeleka jeshi Gaza kwa haraka iliyoidhinishwa na viongozi wenye msimamo mkali ambao wanamuunga mkono Netanyahu.

Hamas wametangaza kukubali kusitisha vita na wakati huo huo wameweka wazi kuwa askari watakaoingia jijini Gaza City basi wasitegemee kuingia kama kwamba wanaingia kwenye mbuga za wanyama kwa burudani.

Viongozi wastaafu wa jeshi la IDF wamesikika wakisema kwamba hatua ya kuingia Gaza kwa namna iliyopendekezwa na Netanyahu litapelekea maafa makubwa kwa askari wa nchi hiyo.

IDF considers recruiting from Diaspora due to severe manpower shortages

Mshike mshike ya kutafuta askari iko kama hivi hapo chini,
View attachment 3446461
Najua sana kazi yenu kubwa ni UONGO na kupotosha habari kichwa cha habari kinasema Askari 14,600 wamekimbia vita wala hujasema lini wamekimbia na wamekimbilia nchi gani wala hujasema ni hatua gani watachukuliwa!!.

Umetuwekea attachment naye inasema vingine kinyume na kichwa cha habari chako na hii inaonyesha wazi ni jinsi gani mlivyo WAONGO na WAPOTOSHAJI wa habari!!

Katika vita yoyote ile ukitaka kuongeza /kupanua eneo la mashambulizi inahitajika manpower yakutosha. Kwa hiyo Israel inayo haki kufanya Recruitment ili kukidhi haja ya Operation zake za kijeshi huko Gaza hayo maneno yenu ya uongo hayana tija !!!
 
Habari Negatives only za Israel ndio unaleta, Wakiwatwanga Hamas unakaa kimya
 
Egypt aliyekataa kutoa nafasi kwa wakimizi eti anasea Israel ishinikizwe ikubali kusimamisha vita, Iblis nae anasikia huruma hahaha

2h ago
(16:00 GMT)

Egypt calls for pressure on Israel to agree to ceasefire​


Egypt’s Foreign Minister Badr Abdel Aty has called for pressure on Israel to accept the ceasefire proposal.
“The ball is in Israel’s court, and it must be pressured to agree to the proposal which would help mitigate the repercussions of the humanitarian catastrophe in Gaza.”
 
Huwa mnasema karibu majengo yote Gaza yamegeuzwa kifusi na kwamba Wagaza zaidi ya 60k wametangulizwa kwa allah

Swali, hayo matendo yametekelezwa na nani kama karibia askari wote wa iDF walishakimbia??
 
Wakati Netanyahu akidhamiria kuiteka Gaza yote,vita vinaelekea kuchukua mwelekeo wa ajabu na kwisha kwa namna moja au nyengine .

Jumla ya idadi hiyo ya askari wamekimbia vita na mshike mshike imekuwa kubwa sana na ndio sababu Israel imekwama kuendelea na kupeleka jeshi Gaza kwa haraka iliyoidhinishwa na viongozi wenye msimamo mkali ambao wanamuunga mkono Netanyahu.

Hamas wametangaza kukubali kusitisha vita na wakati huo huo wameweka wazi kuwa askari watakaoingia jijini Gaza City basi wasitegemee kuingia kama kwamba wanaingia kwenye mbuga za wanyama kwa burudani.

Viongozi wastaafu wa jeshi la IDF wamesikika wakisema kwamba hatua ya kuingia Gaza kwa namna iliyopendekezwa na Netanyahu litapelekea maafa makubwa kwa askari wa nchi hiyo.

IDF considers recruiting from Diaspora due to severe manpower shortages

Mshike mshike ya kutafuta askari iko kama hivi hapo chini,
View attachment 3446461
Huna kazi ya kufanya mkuu hapo kwa shemeji yako? Vipi ukimfulia chupi shemeji yako hapo utakuwa hauja msaidia dada yako kweli? Badala ya kupost ushuzi humu
 
Wakati Netanyahu akidhamiria kuiteka Gaza yote,vita vinaelekea kuchukua mwelekeo wa ajabu na kwisha kwa namna moja au nyengine .

Jumla ya idadi hiyo ya askari wamekimbia vita na mshike mshike imekuwa kubwa sana na ndio sababu Israel imekwama kuendelea na kupeleka jeshi Gaza kwa haraka iliyoidhinishwa na viongozi wenye msimamo mkali ambao wanamuunga mkono Netanyahu.

Hamas wametangaza kukubali kusitisha vita na wakati huo huo wameweka wazi kuwa askari watakaoingia jijini Gaza City basi wasitegemee kuingia kama kwamba wanaingia kwenye mbuga za wanyama kwa burudani.

Viongozi wastaafu wa jeshi la IDF wamesikika wakisema kwamba hatua ya kuingia Gaza kwa namna iliyopendekezwa na Netanyahu litapelekea maafa makubwa kwa askari wa nchi hiyo.

IDF considers recruiting from Diaspora due to severe manpower shortages

Mshike mshike ya kutafuta askari iko kama hivi hapo chini,
View attachment 3446461
Hawa marehemu wanaosema wasitegemee kuingia kama mbuga za wanyama wanaongea wakiwa shimon au
 
Wakati Netanyahu akidhamiria kuiteka Gaza yote,vita vinaelekea kuchukua mwelekeo wa ajabu na kwisha kwa namna moja au nyengine .

Jumla ya idadi hiyo ya askari wamekimbia vita na mshike mshike imekuwa kubwa sana na ndio sababu Israel imekwama kuendelea na kupeleka jeshi Gaza kwa haraka iliyoidhinishwa na viongozi wenye msimamo mkali ambao wanamuunga mkono Netanyahu.

Hamas wametangaza kukubali kusitisha vita na wakati huo huo wameweka wazi kuwa askari watakaoingia jijini Gaza City basi wasitegemee kuingia kama kwamba wanaingia kwenye mbuga za wanyama kwa burudani.

Viongozi wastaafu wa jeshi la IDF wamesikika wakisema kwamba hatua ya kuingia Gaza kwa namna iliyopendekezwa na Netanyahu litapelekea maafa makubwa kwa askari wa nchi hiyo.

IDF considers recruiting from Diaspora due to severe manpower shortages

Mshike mshike ya kutafuta askari iko kama hivi hapo chini,
View attachment 3446461
Echolimai kazi ipo uko pesa za kuzoa na mikono yote miwili changamkia kushika mtutu!!,,
 
Huwa mnasema karibu majengo yote Gaza yamegeuzwa kifusi na kwamba Wagaza zaidi ya 60k wametangulizwa kwa allah

Swali, hayo matendo yametekelezwa na nani kama karibia askari wote wa iDF walishakimbia??
Umeelewa kilichoandikwa?
Hii ndio shida ya kutumia hisia badala ya akili.
Ujumbe unasema kuwa askari wa reserve wamekimbia hivyo reservist kuna upungufu mkubwa wa askari.
 
Umeelewa kilichoandikwa?
Hii ndio shida ya kutumia hisia badala ya akili.
Ujumbe unasema kuwa askari wa reserve wamekimbia hivyo reservist kuna upungufu mkubwa wa askari.
Aisee,
Sawa shekhe
 
Habari Negatives only za Israel ndio unaleta, Wakiwatwanga Hamas unakaa kimya
nikiwa nimechelewa kuleta source mnasema ni stori za vijiwe vyetu vya kahawa.Nikileta source kuonesha kuwa mimi sio niliyesema mnaanza kulalamika
 
Habari Negatives only za Israel ndio unaleta, Wakiwatwanga Hamas unakaa kimya
nikiwa nimechelewa kuleta source mnasema ni stori za vijiwe vyetu vya kahawa.Nikileta source kuonesha kuwa mimi sio niliyesema unaanza kulalamika
 
Swali, hayo matendo yametekelezwa na nani kama karibia askari wote wa iDF walishakimbia??
14600 sio wote lakini ni wengi sana.Wengi zaidi watajiunga nao mpaka wamwambie Netanyahu kapigane mwenyewe.
Majengo yaliyogeuzwa kifusi ni ndege zinazofadhiliwa na US ambapo Hamas hawana teknolojia ya kupambana nazo.Teknolojia hizo ziko kwa Khamenei na Houth.
 
Swali, hayo matendo yametekelezwa na nani kama karibia askari wote wa iDF walishakimbia??
14600 sio wote lakini ni wengi sana.Wengi zaidi watajiunga nao mpaka wamwambie Netanyahu kapigane mwenyewe.
Majengo yaliyogeuzwa kifusi ni ndege zinazofadhiliwa Hamas hawana teknolojia ya kupambana nazo.Teknolojia hizo ziko kwa Khamenei na Houth.
 
Wakati Netanyahu akidhamiria kuiteka Gaza yote,vita vinaelekea kuchukua mwelekeo wa ajabu na kwisha kwa namna moja au nyengine .

Jumla ya idadi hiyo ya askari wamekimbia vita na mshike mshike imekuwa kubwa sana na ndio sababu Israel imekwama kuendelea na kupeleka jeshi Gaza kwa haraka iliyoidhinishwa na viongozi wenye msimamo mkali ambao wanamuunga mkono Netanyahu.

Hamas wametangaza kukubali kusitisha vita na wakati huo huo wameweka wazi kuwa askari watakaoingia jijini Gaza City basi wasitegemee kuingia kama kwamba wanaingia kwenye mbuga za wanyama kwa burudani.

Viongozi wastaafu wa jeshi la IDF wamesikika wakisema kwamba hatua ya kuingia Gaza kwa namna iliyopendekezwa na Netanyahu litapelekea maafa makubwa kwa askari wa nchi hiyo.

IDF considers recruiting from Diaspora due to severe manpower shortages

Mshike mshike ya kutafuta askari iko kama hivi hapo chini,
View attachment 3446461
Nao wanachoshwa kupigana vita vya kichaa Natenyahu visivyokuwa na kichwa wala miguu!!

Natenyahu watoto wake huwa hawashiriki kwenye vita ie wako salama kabisa lakini yeye anataka vijana wa watu wengine ndiyo waende kufia vitani eti wakitetea/panua so called "Greater Israel" upuuzi MTUPU, nashangaa kwa nini mpaka leo hii Waisrael hawapigi kura ya kumuondoa madarakani Natenyahu - kuendelea kwake kubaki madarakani kutali-cost taifa la Israel dearly.
 
Back
Top Bottom