asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Achana naye mkuu , vuta mzigo mwingine mpya.... Tena unaonekana bado kijana tu wewe.
Kama kaipenda ahamie mtumie wote.mkuu hujui siasa kwenye mapenzi? there is a soft way of saying no! sasa we umemjibu "siwezi kukupa" thats harsh! ungemwambia "'mamy hii haikufai,mambo yakikaa sawa ntakununulia nzuri zaidi kuna mahali niliiona"
afu asuburi mpaka Yesu aje nayo!
mmmmmh! vibomu vya madem aisee yaani ni shidaaah!!!!!