wanatamani
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 415
- 145
Habari wana jamvi.
Mimi ni kijana nina mahusiano na msichana mmoja yapatayo mwaka sasa. Lakini ghafla amesitisha mawasiliano baada ya kunitumia meseji akiniomba nimpatie dressing table yangu ambayo ipo ndani kwangu naitumia, nilimweleza siwezi kutoa kitu ndani ambacho nimenunua kwa ajili ya ndani kwangu kumpatia yeye.
Labda asubiri nimtafutie pesa akanunue yake, hapo ndio chanzo cha kustisha mawasiliano na mimi. Naomba maoni yenu hii ndio itakuwa sababu au ilikuwa ni kutafuta sababu na ameipatia hapo na je ni sahihi kutoa kitu cha ndani ya nyumba kama kabati, dressing au kitanda kumpatia girlfriend apeleke kwake.
Ushauri please
Mimi ni kijana nina mahusiano na msichana mmoja yapatayo mwaka sasa. Lakini ghafla amesitisha mawasiliano baada ya kunitumia meseji akiniomba nimpatie dressing table yangu ambayo ipo ndani kwangu naitumia, nilimweleza siwezi kutoa kitu ndani ambacho nimenunua kwa ajili ya ndani kwangu kumpatia yeye.
Labda asubiri nimtafutie pesa akanunue yake, hapo ndio chanzo cha kustisha mawasiliano na mimi. Naomba maoni yenu hii ndio itakuwa sababu au ilikuwa ni kutafuta sababu na ameipatia hapo na je ni sahihi kutoa kitu cha ndani ya nyumba kama kabati, dressing au kitanda kumpatia girlfriend apeleke kwake.
Ushauri please