Asilimia kubwa ya wanawake ni wabovu kitandani

Kajolijo

JF-Expert Member
May 30, 2016
3,364
4,607
Wanawake badilikeni, asilimia kubwa yenu ni wabovu kitandani, hamfanyi jitihada za kujifunza namna ya kufanya mapenzi, kazi yenu ni kujiachia tu na kuwaachia wanaume,

Unakuta mtu akifika kitandani utadhani ligogo, hata kunyonga nyonga hamna, halafu sasa wanawake wa hivo ndio ya kwanza kujifanya wanaona wivu, wivu wapi wakati mwenyewe hujishugulishi,..

Badilikeni jamani. Kiufupi mnakera na kuboa sana waambieni wenzenu waboreshe ndoa.
 
Achana na hawa watt wa huko
Masak,msasan,mikochen,
E.t.c pia kama upo chuga
Epukana na hawa wa njiro,mwisho wa lami,
Nanenane hao n watt wa get
Kalii hao

Ukiwaambia wakukatie mauno n sawa na kupgia
Mbuz gitaa

Njoo tu huku uswaaz
Yan raha tupu mtt anaitendea haki kaz yake bhana
 
Kila uchao JF lazima tupewe vijembe wanawake!! Haya sasa nikwambie kitu? Yoote hayo yaweke kando anza kwa kumtimizia mkeo mahitaji yake yoote ya msingi,rudi nyumbani mapema kaa nae umfunze hayo mauno na mineng'eneko yoote..... Mwanaume aliyepitia jando halalamikii uvivu wa mwanamke Bali anautumia kama faida ya kujidhihirishia uanaume wake maana kila mechi yeye ndie atatoka mshindi mpaka pale mke atapoyamudu Mapigo, Asalam Aleykum
 
Kumbe mnauza
Kila mwanamke awe ameolewa hajaolewa awe napesa au hana lazima apende kupewa pesa Kwatarifa yako. Ndo ujiulize kwanini wanawake wenye ndoa wanacheepuka ukiachilia mbali kutorizishwa. Mwanamke ambao amefundwa hawezi chepuka kama mme wake hamtoshlezi mbali wengi wanacheepuka for economic purposes
 
Na wanaume je? Mwanamke kujituma inategemea umewekeza kwake kiasi gani. Kama huja invest usitegemee kupata match ya Old Trafford wakati wewe wamatopeni
Jaman jaman wanawake,... hadi kwenye mambo haya lazima uwekeze kwanza?
 
Back
Top Bottom