PostGE2025 Asilimia 97.6%! Maajabu ya Rais Samia kwenye Matokeo ya Uchaguzi Tanzania 1975–2025

PostGE2025 Asilimia 97.6%! Maajabu ya Rais Samia kwenye Matokeo ya Uchaguzi Tanzania 1975–2025

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Takwimu zinaonyesha mwenendo wa uchaguzi mkuu wa Tanzania kwa kipindi cha miaka 50, zikionyesha idadi ya wapiga kura, waliopiga kura na mgombea mshindi katika kila mwaka wa uchaguzi.
Chanzo: Ripoti za Tume ya Uchaguzi na taarifa za Uchaguzi Mkuu (The Chanzo, Novemba 8, 2025).
1762756000847.png
 
PICHA Ya Nyomi ya wapika kura vituoni umeiona.
 

Attachments

  • Switch ya Fundi Mwambe.mp4
    13.1 MB
Uchaguzi wa 2025 na 2020 hazikuwa chaguzi bali kiinimacho au maigizo.
 
Haya ndio matokeo ya kuomba majini yalete ushindi wa kishindo. Katika wapiga kura milioni 31 usishangae kukuta majini ni milioni 30. Kura za maruhani.
 
Back
Top Bottom