Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,447
- 7,832
Zaidi ya wafanyakazi 738 kati 770 sawa na 95% wa kampuni maarufu zaidi duniani ya akili bandia ya OpenAI inayoendesha mfumo wa ChatGPT wamesema watajiondoa kazini na kujiunga na Microsoft endapo bosi wao mkuu aliyeondolewa, Sam Altman asiporudishwa kazini.
Sam Altman ambae pia ni mwanzilishi mwenza wa kampuni hiyo aliondolewa na bodi ya wakurugenzi wakidai hawana imani na uwezo wake wa kuendelea kuiongoza OpenaAI.
Sam Altman ambae pia ni mwanzilishi mwenza wa kampuni hiyo aliondolewa na bodi ya wakurugenzi wakidai hawana imani na uwezo wake wa kuendelea kuiongoza OpenaAI.