Wamefikiwa na vijiumeme vya sola na betri sio tanesco.Kwa mujibu wa ripoti ya utafiti wa athari za upatikanaji wa Nishati Endelevu Tanzania Bara kwa mwaka 2021/2022, inaonesha kuwa asilimia 72 ya kaya zote Tanzania Bara zinaishi katika vijiji/mitaa iliyofikiwa na huduma ya umeme.
View attachment 2814398