Asilimia 30 ya wanawake wanapenda kupigwa

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,349
6,476
Utafiti wa Repoa unaonesha asilimia 30 ya wanawake takribani 1300 nchini wanaona ni halali kupigwa na waume zao endapo wanaondoka nyumbani bila kuaga au kuwaacha watoto nyumbani peke yao. Halafu utafiti huo hausemi kama hiyo asilimia 30 inawakilisha wanawake wote wa Tanzania wa aina ya waliohojiwa.

Swali langu: je kilichoandikwa kwenye kichwa cha habari 'wanapenda kupigwa' na kilichomo kwenye utafiti "wanaona ni halali kupigwa" vina maana sawa kweli jamani?

Asilimia 30 ya wanawake wanapenda kupigwa
 
1481376631243.jpg
 
Sasa itapitaje hata wiki bila kumweka mkeo hata kangeu?

Kwakweli inapendeza sana kupiga mke,kama sio ngeu at least umweke uvimbe mahali, hasa usoni.

Inapendeza kwakweli na kunogesha mapenzi hasa kwa wanaojua mapenzi

Viita ni vita Muraa.
 
Wanapenda kupigwa? Yani wanatetea vipigo wanavyopata toka kwa wenza wao?

Bila shaka hao waliofanyiwa huo utafiti wanaugua Stockholm syndrom. Unateswa hadi akili inaanza kuamini ni sawa tu unayofanyiwa

Hii maana yake ni hivi patriarchy system imetengeneza wingu zito kwenye bongo za wanawake hadi wanaona sawa tu kupigwa.

Jamii inawaona wanawake they are inheritedly guilty. Ndio maana mambo ya hovyo wanafanyiwa na wanaume kwasababu jamii yote inadhani ni sawa tu. Hatari sana hii
 
Ila mwanamke kuna muda anaudhi sana... kama unamkono mwepesi utakuwa unawapiga kila siku...
 
Aisee mie siko humo yaani ukinifinya nachukia sana
Napenda tuongee kama watu wazima tuelewane
 
dahhh sikushauri nimepiga sasa hapa nasubiri kesi tu ya kujibu

MSIWAPIGE WENGINE HAMJUI KUPIGA MTASHITAKIWA KAMA MIMI
 
Inawezekana kabisa maana kuna wanawake wa aina nyingi, mimi niliwahi kuwa na mchumba dada fulani hivi, akawa amenikosea sana akaniomba msamaha baada ya kuona simwelewi haraka eti akanambia nimpige tu makofi kama ishara ya kumsamehe kuliko kumuacha au kumkataa. DUNIA INA MENGI.
 
Back
Top Bottom