Hata sielewi hao mashujaa tunaowakumbuka ni wapi hasa,na kama wapo nadhani they fought for nothing maana kama kweli walitoa damu na uhai wao kupigania Nchi hii Tanzania/Tanganyika kweli ilikula kwao,maana kwa hali hii ilivyo bora Mzungu angeendelea kututawala tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.