Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,631
- 6,495
Habari Isanga.Miaka iyo ni mandalay,woodstock,guguletu,nyanga na kayelitsha na kidogo saltliver, wynberg na Athlone kwa PAGAD hapo..usafiri ni iyege tkt za treni za kuchanja za wiki za mwezi kwa michael hapo Mandalay..
Naomba unipe experience yako japo sijajua last time yako kuwa South Africa.
Naulizia kusafiri na basi kutoka Jo'berg mpaka Cape Town. Nauli inaweza cheza mwenge Randi ngapi.
Wewe ushawahi safiri kwa bus hizo miji miwili? Maasa mangapi safari inachukua.
Vipi Stand ya mabasi Jo'berg ipo jirani na Airport yao (walking distance)?
Yaani iko hivi, kuna mtu anatoka Bongo mpaka Jo'berg kwa ndege.
Then kupunguza gharama, akifika pale Jo'berg anapanda Bus hadi Cape Town.