Super Tuesday
JF-Expert Member
- Apr 5, 2016
- 636
- 727
jina la wilaya ya Same nilisikia lilitokana na wazungu kuona sehemu zote za wilaya hiyo zinafanana ndio wazungu wakawa wanatamka kila mara neno 'same' ya kiingereza kwa maana kila mahali kunafanana, hatimaye ndio ikaitwa Same.