Omari Makoo
Member
- Sep 6, 2016
- 78
- 39
Inasemekana kwamba Asili ya jina Kilimanjaro ni kwamba
mzungu alikwenda marangu na
akakutana na mzee wa kichaga miaka
hiyo ya nyuma na akauliza huu mlima
unaitwa nini? mzee wa kichaga akajibu
"Kilema Kyaro" akiwa anamaana ni
mlima wa ajabu kwa jinsi ulivyokuwa
ukichemka volcano. Basi mzungu
akapotosha jina na kuuita kilima-njaro!
lakini asili yake ni "KILEMA KYARO"
Hebu na wewe tupe asili ya majina ya mikoa ,wilaya ,vijiji,kata na mitaa unayoifahamu
mzungu alikwenda marangu na
akakutana na mzee wa kichaga miaka
hiyo ya nyuma na akauliza huu mlima
unaitwa nini? mzee wa kichaga akajibu
"Kilema Kyaro" akiwa anamaana ni
mlima wa ajabu kwa jinsi ulivyokuwa
ukichemka volcano. Basi mzungu
akapotosha jina na kuuita kilima-njaro!
lakini asili yake ni "KILEMA KYARO"
Hebu na wewe tupe asili ya majina ya mikoa ,wilaya ,vijiji,kata na mitaa unayoifahamu