Excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 19,745
- 10,078
habari wana mmu!!?
binafsi, nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana juu ya kabila hili la kikurya katika suala zima la mapenzi!
kwa jinsia ya kike, wanawake wamekuwa ni watu wasiri sana katika familia zao ikiwemo kutunza siri mbalimbali za waume zao hasa pale wanapowapiga ama kuwanyanyasa kivyovyote vile katika mapenzi!
wanawake wa kikurya (hasa wale wa zamani kwa jinsi wanavyodai wao) wanadai kwamba wasipopigwa na waume zao basi hawapendwi!!! ama, waume zao wasipokuwa wakali sana, wanaamini sana kwamba mji hautokuwa na ulinzi wa kutosha! vivyo hivyo, mwanaume anapokuwa mpole sana, inafikia hatua kwamba mwanamke anaweza kumpiga ilimradi tu 'kumchokonoa' aone hali yake!!!!
naomba nitoe mfano halisi, mimi ni kijana wa kikurya, baba yangu ana wake wanne, mama yangu akiwa wa pili kati ya hao! mama alishanipa story moja kwamba, enzi hizo, baba alikuwa akiwafungia wao wote wanne sehemu moja na kuanza kuwachapa kwa pamoja kwa kosa dooogo tu labda la kutofunga zizi, kitu ambacho kilitakiwa kifanywe na mtu mmoja! adhabu hiyo ilifanywa ikienda sambamba na kunyimwa chakula!!
huu ni unyama kabisa kwa wanawake, japo na wanawake pia wanalazimisha kutendewa haya mambo!!
wakurya, si wanawake si wanaume, wote kwa pamoja ni wakorofi!!
sijui hawa jamaa bila kupigana huwa wanajisikiae vile??
kama wewe ulishafika katika kiunga chochote cha mkoa wa mara, utakutana na wabibi weengi wakiwa na ulemavu mbali mbali ikiwemo kuvunjika mikono, miguu kupinda, jicho kuharibika, wengine hawajiwezi kabisa kutembea, na vilema vingine viingi, basi ujue kuna kazi ya mwanaume hapooo imefanyika!!!
yani hapo mwanamke hachaguliwi fimbo wala nini, kilicho mbele ndicho anachopigiwa, iwe mwichi twende! iwe jiwe twende! iwe kigoda, kiti, ama chochote ndio hivyo!!
kama kuna wana mara wengine humu waje wathibitishe juu ya hili. mimi sidanganyi, haya mambo yapo kabisa!!
binafsi, nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana juu ya kabila hili la kikurya katika suala zima la mapenzi!
kwa jinsia ya kike, wanawake wamekuwa ni watu wasiri sana katika familia zao ikiwemo kutunza siri mbalimbali za waume zao hasa pale wanapowapiga ama kuwanyanyasa kivyovyote vile katika mapenzi!
wanawake wa kikurya (hasa wale wa zamani kwa jinsi wanavyodai wao) wanadai kwamba wasipopigwa na waume zao basi hawapendwi!!! ama, waume zao wasipokuwa wakali sana, wanaamini sana kwamba mji hautokuwa na ulinzi wa kutosha! vivyo hivyo, mwanaume anapokuwa mpole sana, inafikia hatua kwamba mwanamke anaweza kumpiga ilimradi tu 'kumchokonoa' aone hali yake!!!!
naomba nitoe mfano halisi, mimi ni kijana wa kikurya, baba yangu ana wake wanne, mama yangu akiwa wa pili kati ya hao! mama alishanipa story moja kwamba, enzi hizo, baba alikuwa akiwafungia wao wote wanne sehemu moja na kuanza kuwachapa kwa pamoja kwa kosa dooogo tu labda la kutofunga zizi, kitu ambacho kilitakiwa kifanywe na mtu mmoja! adhabu hiyo ilifanywa ikienda sambamba na kunyimwa chakula!!
huu ni unyama kabisa kwa wanawake, japo na wanawake pia wanalazimisha kutendewa haya mambo!!
wakurya, si wanawake si wanaume, wote kwa pamoja ni wakorofi!!
sijui hawa jamaa bila kupigana huwa wanajisikiae vile??
kama wewe ulishafika katika kiunga chochote cha mkoa wa mara, utakutana na wabibi weengi wakiwa na ulemavu mbali mbali ikiwemo kuvunjika mikono, miguu kupinda, jicho kuharibika, wengine hawajiwezi kabisa kutembea, na vilema vingine viingi, basi ujue kuna kazi ya mwanaume hapooo imefanyika!!!
yani hapo mwanamke hachaguliwi fimbo wala nini, kilicho mbele ndicho anachopigiwa, iwe mwichi twende! iwe jiwe twende! iwe kigoda, kiti, ama chochote ndio hivyo!!
kama kuna wana mara wengine humu waje wathibitishe juu ya hili. mimi sidanganyi, haya mambo yapo kabisa!!