Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 82,923
- 96,677
Alikuwa ni zaidi ya shetaniArdhi na mbingu zilimlaani mwanakwendazake na ndio maana zikammeza.
Hiyo, na ndiyo maana inakuanika mno boss! Unaongelea kifo ambacho humchukua hata mtoto mchanga asiye na hata chembe ya dhambi?Tatizo alikuwa ni Magufuli na ndiyo maana baada ya kumaliza ufedhuli huu akafariki kabla ya miezi 4. Mungu hazihakiwi
Uchaguzi huru na wa haki hufanyika kwani kila anayestahili kupiga kura anapiga kwa wakati wake. Kinacholalamikiwa ni uhalali wa matokeo ya kura zilizopigwa.Uchaguzi huru, wa wazi na wa haki, utafanyika humu nchini kwa mujibu wa katiba, sheria, kanuni na taratibu za nchi. Na sio kulingana na maoni, mtazamo, matakwa, malalamiko au maelekezo ya mtu fulani mahala fulani. No, haipo hivyo π
Mtazamo na maoni ya mtu, yasikilizwe na kuheshimiwa, kuongeza ufahamu, tahadhari, maboresho baadae, na uelewa wa masula ya uchaguzi na si vinginevyoπ
Ni vuzuri zaidi, kujiandaa na kujipanga vizur kushiriki chaguzi zijazo kikamilifu, kwa hiari bila shuruti au mihemko, ili utulivu na Amani ya Mama Tanzania iendelee kutamalaki bila hamaki kwa waTanzania wote π
actually,Uchaguzi huru na wa haki hufanyika kwani kila anayestahili kupiga kura anapiga kwa wakati wake. Kinacholalamikiwa ni uhalali wa matokeo ya kura zilizopigwa.
Haya uliyoandika ndio sababu ya wagombea wa upinzani kuenguliwa bila sababu? Ndio sababu ya watendaji wa tume kukimbia ofisi wasipokee fomu za wagombea wa upinzani? Ndio sababu ya mgambo kuingiza mafurushi ya kura bandia kwenye vituo vya kupigia kura? Ndio sababu ya mawakala wa vyama vya upinzani kuzuiwa kufanya majukumu yao?Nyie ngojeni muone mtakavyopigwa tena 2025. Wenzenu washaanza kupita kwa wananchi mapema. Ile kazi alopiga JPM si ya kitoto, hakutegemea tena pesa ya matajiri kupiga kampeni, wananchi waliona na wakajibu kwenye sanduku!! Kama mliibiwa basi fursa ilikuwepo kwenda mahakamani, vyombo hivi hivi mlikuwa mkienda na mlikuwa mnashinda kesi, utasikia "Kibatala aibwaga Serikali mahakamani, uchaguzi kurudiwa" hamjiulizi, mliibiwa nchi nzima? Mlikuwa mmesinzia?
Tatizo nyinyi hampo mashinani, vyama vipo makao makuu tu na kupiga blah blah na kupiga pesa za ruzuku na misaada. Wananchi hawana cha kukupimeni.
Pesa haiendi chini kujenga vyama vyenu!
Kwa tume ipi wapinzani watashinda?
Ninajuwa nitakufa, ila hiyo sababu ya kukaa kimya kwa uovu wa dikteta MagufuliHiyo, na ndiyo maana inakuanika mno boss! Unaongelea kifo ambacho humchukua hata mtoto mchanga asiye na hata chembe ya dhambi?
Tatizo alikuwa ni Magufuli na ndiyo maana baada ya kumaliza ufedhuli huu akafariki kabla ya miezi 4. Mungu hazihakiwi
We unaota!Mkuu ccm ni wezi,hawajawaji kuchaguliwa.
View attachment 2971369
Tumekuwa tunatumia nguvu nyingi kusifu na kuficha madhaifu ya Magufuli,ila Mungu kwa rehema zake amekuwa anayafichua kwa namna anayoitaka yeye.
Wazee hawa wanadhihirisha dhulma kubwa iliyofanywa na mgufuli katika uchaguzi wa mwaka 2020,ambao wahafidhina wa chama tawala wanalazimisha kuficha ukweli huo.
Natumai kadiri siku zinavuokwenda mbele yataibuka maovu mengi yaliyofanywa na mwanakwenda zake ili wale wanaotetea wafedheheke!!
Huyu mzee ameongea ukweli 100%. Magufuli ni jambazi lililoiba uchaguzi wa 2020 bila soni mchana kweupe kama lilivyotaka kumuua Tundu Lissu mchana kweupe.
Mungu hadhihakiwi. Liko wapi sasa?
Lipo Chattle linajiozea taratibuLipo kwenye sgr, bwawa la umeme na ndege
Huyo jamaa wa Butimba ni kati ya mashujaa ambao hawakukubali kutishwa na diktetaNikitazama hii comment yako, then nikitazama na avatar yako...
Najikuta nakumbuka jinsi Magufuli alivyomchachafya yule askari magereza wa Butimba ambaye ndio huyo kwenye avatar...
Wananjaa haoView attachment 2971369
Tumekuwa tunatumia nguvu nyingi kusifu na kuficha madhaifu ya Magufuli,ila Mungu kwa rehema zake amekuwa anayafichua kwa namna anayoitaka yeye.
Wazee hawa wanadhihirisha dhulma kubwa iliyofanywa na mgufuli katika uchaguzi wa mwaka 2020,ambao wahafidhina wa chama tawala wanalazimisha kuficha ukweli huo.
Natumai kadiri siku zinavuokwenda mbele yataibuka maovu mengi yaliyofanywa na mwanakwenda zake ili wale wanaotetea wafedheheke!!
Akili maafafa. Hoja ya NYU Mmoja unawekea jumuisho. Shame on youAlikuwa ni zaidi ya shetani
Mkuu, jikingine usionekene...Mwenyekiti anayesemwa hapo ni yupi, umejua? Mwenyekiti wa mtaa, kijiji, chama?Tatizo alikuwa ni Magufuli na ndiyo maana baada ya kumaliza ufedhuli huu akafariki kabla ya miezi 4. Mungu hazihakiwi
Fisiem oyeeee π€£π€£π€£π€£π€£πͺπͺπͺπΆπView attachment 2971369
Tumekuwa tunatumia nguvu nyingi kusifu na kuficha madhaifu ya Magufuli,ila Mungu kwa rehema zake amekuwa anayafichua kwa namna anayoitaka yeye.
Wazee hawa wanadhihirisha dhulma kubwa iliyofanywa na mgufuli katika uchaguzi wa mwaka 2020,ambao wahafidhina wa chama tawala wanalazimisha kuficha ukweli huo.
Natumai kadiri siku zinavuokwenda mbele yataibuka maovu mengi yaliyofanywa na mwanakwenda zake ili wale wanaotetea wafedheheke!!
ccm wawe wanaelewa walau kidogo.View attachment 2971369
Tumekuwa tunatumia nguvu nyingi kusifu na kuficha madhaifu ya Magufuli,ila Mungu kwa rehema zake amekuwa anayafichua kwa namna anayoitaka yeye.
Wazee hawa wanadhihirisha dhulma kubwa iliyofanywa na mgufuli katika uchaguzi wa mwaka 2020,ambao wahafidhina wa chama tawala wanalazimisha kuficha ukweli huo.
Natumai kadiri siku zinavuokwenda mbele yataibuka maovu mengi yaliyofanywa na mwanakwenda zake ili wale wanaotetea wafedheheke!!
Hili ndo tatizo lenyeweHao wananchi pamoja na makelele yote hayo bado watachagua CCM...
Kwa "upumbavu" wao wanaamini tatizo ni Magufuli na si vinginevyo...