fimboyaukwaju aisee nimeamini kuna binadamu tunafanana sanaa kihisia na kifikira.
Huyu jamaa Ashery Chilewa ana sauti nzuri sanaa ya utangazaji hasa anaposimulia nyimbo za zamani Zilipendwa ananifanya nikumbukie Maisha ya miaka ya 80 na 90 yalivyokua mazuri.
Kongore sana kwako Mkuu kwa kuleta uzi huu, I Salute 🫡