Maskini kapozwa,Bado milango inafunguka!!!!
watu sijui ni wivu dah watu walikuwa wameshaanza kuhangaika na pressure zao wanahisi labda anakuja kugombea urais kapata hiyo nafasi tena bado wanamuona ni brainless? hivi mnataka kuniambia hata huko kuna mambo ya kupeana peana tu vinafasi bila kuangalia uwezo wa mtu? africa wapo wangapi wenye uwezo? mpeni heshima mama wa watu na kuthamini hata kazi yake anayofanya, unaemponda umefanya nini hata kwenye hicho kijiji chako ulichotoka kwa kazi yako unayoifanya? tuache wivu jamani waachieni ma boss wake ndio waseme kama hawezi au anaweza kazi msiwe mnaingilia kazi ambazo haziwahusu kabisa. wivu wivu utatufikisha pabaya kabisa sijaona hata moja la kumpongeza huyu mama ina maana yooote kafanya hovyo?? wewe umejipimaje au watu wanakutathimini vip kazi yako kwenye kampuni unayoifanya?
mimi sjaifanyia chochote kijiji yangu zaidi ya reafforestation
pamoja na kutokufanya lolote la maana kijijini kwangu bado SI KIGEZO CHA KUUKUBALI UTENDAJI OVYO NA DHAIFU WA DR.ASHA...
jaribu kufikiri..Dr.ASHA alikuwa UDSM akaja MAMBO YA NJE.....eleza ni kipi hasa kilikuwa nyuma ya hii promotion?
(jambo gani la maana alofanya kumpaisha kwenda mambo ya nje)
Akiwa NAIBU WA MOON--sasa ni utendaji upi wa maana aliousimamia akiwa mambo ya njee uliomwezesha kwenda UN??
dr.migiro kuwa na Phd sio kigezo cha utendaji, kulecture school of LAW sio kigezo pia kwani ni maprofessor wangapi wenye analyisis za kijinga walioko hapa UDSM????
Bado milango inafunguka!!!!
inaonekana tu watu tumekua wepesi wa kulalamika bila kutathimini nini tunaonge nini tunatakiwa kufanya,na wapi jf imekua sawa na taarab hamna kukubaliana na hali ni majungu tu mama wa watu kakosea nini? Au ulitaka baba na mama yako ndiyo wawe appointed? Tujadili vitu vya msingi siyo kila muda siasa na mambo mengi ya kijinga mnatumiwa na wanasiasa kwa kila jambo kuna maada nyingi jamanidhaifu alishindwa kaz amerud nyumbani kupiga ndogo ndogo lumumba
Ukisema brainless unamuonea huyu mama kiukweli huyu mama ni miongoni mwa watu bright sana Tanzania ila sio politician huyu anatakiwa awe kwenye vyuo vikuu akifundisha au kufanya research mbalimbali au kuwa consultant lakini medani ya siasa au diplomasia hawezi, nimesoma baadhi ya academic publication zake she is bright real!
Dah mkuu unaweza nionyesha mahala Ban Kin Moon alipotoa taarifa ya kwanza kuwa Migiro kaachishwa kwa sababu ya poor performance?..Nitamwona Migiro hazimtoshi maana kashushwa hadhi vibaya sana.Ban Kin Moon ni ndumilakuwili huyo mtu,juzi alitoa taarifa kwamba dr migiro alikua na poor performance sasa watu wamejua aliyoyasema ndio kampa kifuta machozi,ushauri wangu kwa migiro usikubali hyo position nenda kafundishe chuo kama ulivyosema kwamba unataka kuwa mama na kurudi kwa mwajili wako,ukifanya hyo kazi basi Ban kin moon atazidi kukudharau ni bonge la demotion hilo!!
hongera sana madam, naona Mungu kakufungulia milango ya baraka achana na hizi siasa za magamba.
Ni kweli. Mimi nashangaa kuita breaking news! Watu ni wavivu kufuatilia mambo mbalimbali kwenye vyombo vya habari.mbona hii ni ya siku nyingi humu?