st kayumba pro
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 174
- 21
kwa hali ya sasa tanzania haitaji kiongozi dizain mama migiro. ni kweli ni mzur wa kujieleza >magufuli; lakini ni kweli pia magufuli anaaweza ku-'walk the talk' > migiro, watanzania wanahitaji mtu ambaye ata walk the talk