ASHA ROSE MIGIRO ana SPEECH TAMU SANA

ASHA ROSE MIGIRO ana SPEECH TAMU SANA

sure ingekua sio gubu la ccm Migiro angepitishwa kwa speech yenye viwango. huyo magufuli kafunikwa na wanawake. hajui kupangilia speech cjui akiwa raisi atatuwkilisha vipi kmataifa. Shammme!!

Hivi kigezo cha kupata urais ni speech?
 
Tukiachana na mambo mengine kwa mliobahatika kuwaangalia watia nia watatu wa jana kama ni kujudge nani anayejua kujieleza basi mwanamama yule kawashinda wote,kwanza ametulia anajua kuyapangilia maneno na ushawishi wa hali ya juu kwamba hata kama mwanzo mtu ulikuwa humuwazii kwa lolote na wazi kwamba anaweza kubadili fikra zako,kweli mama unafaa na nimeamini ana uwezo mkubwa sana si ajabu ndo mana anateuliwa kwa nyadhifa kubwa kubwa zamani nilikuwa najiuliza what is extra or what is special for her,but now i know.....may God give chance to this INCREDIBLE WOMAN WE HAVE IN TANZANIA TO BE OUR LEADER....AMEN.

Labda awe kiongozi wa familia yako na ukoo wako,siyo kwa watanzania
 
Mkuu ni "fired" deputy General Sectretary of UN coz she was useless....really useless!

Mweupe sana kwenye uongozi kwa vitendo!...Nashangaa mijitu inaona mtu kuongea vizuri ndio mtendaji plus ilishadhibitika hana utendaji wowote,useless meat-head!

Chukua tano kiongozi kwa kuwa muwazi
 
Kuliko kutawaliwa na Raisi mwanamke ni bora nikaishi uhamishoni nchini Somalia.....
 
Mhh rekodi ya kutumikia UN kwa mtazamo wako waiona haitoshi?! Mkuu hiyo yamaanisha ana rekodi inayong'ara hata nje ya mipaka yetu!! Dr. Migiro you vzr sana, namtabiria uwaziri mkuu!!
Kule UN mambo yao wameshajipangia huna jipya hakuna changamoto,huwezi kufananisha kuiongoza nchi,kuongoza nchi ni mgogoro wa kudumu na raia wako yataka uhodari,kule un mnachagua tu wapi tutie mikono wapi tuachane nako,mostly ni ushauri upatanishi na kupitisha viazimio extremely biased kwa maslaha ya akina fulani!kuongoza nchi habari nyingine shukrani au laana zitakuandama kutegemea na uwezo wako!
 
Kwanza pale hawakuwa wanahutubia ishu yoyote. Ni kujitambulisha/kutoa wasifu wako na kuomba kura za wajumbe tu. Mambo ya kufanya ukiwa raid in kutekeleza ilani za chama.
 
Kınachoonekana hapo ni lafudhi tu.Watu wa pwani ama waliokaa sana pwani, wanakuwa na Kıswahili chenye mvuto tofauti na sisi wa bara zaidi sana kanda ya ziwa.Lakini content za speech zao, Magufuli alikuwa na content.Aliwaaminısha wajumbe kuwa atasimamia na kutekeleza hasa ilanı, atawaenzı wazee waliomtangulia, atahakikisha taifa linasonga mbele kimaendeleo.Ukiwatafuta wataalam wakadadavua hyo kıtu,watajaza volumes.
 
Mhh rekodi ya kutumikia UN kwa mtazamo wako waiona haitoshi?! Mkuu hiyo yamaanisha ana rekodi inayong'ara hata nje ya mipaka yetu!! Dr. Migiro you vzr sana, namtabiria uwaziri mkuu!!

Acheni kurukaruka kama maharage yanayochemka Angekuwa na uwezo Kwanini hakuongezewa mkataba mwingine Unajua hiyo nafasi aliipata Baada ya JK kumSupport BAN,KINMOON manake Amelipwa tu Fadhila JK nandio maana karudishwa Bongoz kwa watu wanaoamini ktk HOTUBA tam Performance ZIRO
 
Wabongo wamezowea kudanganywa,thanks CCM for the first time you've made the right decision, Dr Magufuli is what this country need right now, someone who can't hesitate to make tough decisions, a golfer!

Bt kwa mfumu uliopo MAGUFULI hata km atachaguliwa hawezi kuwa na kipya chakufanya Sema hapa watu wengi wana uBongo wa NYUMBU kusahau kila jambo watu waliimba Hadi kukufuru MUNGU eti,,,,Kikwete ni chaguo la MUNGU kikowapi 10yrs new anaondoka Mamlakan Unga wa SEMBE kilo zaidi ya elf 1then watu wanashangilia eti huko CCM kuna mwenye kuongoza NCH hii daa
 
Acheni kurukaruka kama maharage yanayochemka Angekuwa na uwezo Kwanini hakuongezewa mkataba mwingine Unajua hiyo nafasi aliipata Baada ya JK kumSupport BAN,KINMOON manake Amelipwa tu Fadhila JK nandio maana karudishwa Bongoz kwa watu wanaoamini ktk HOTUBA tam Performance ZIRO

Umemaliza kila kitu
 
sure ingekua sio gubu la ccm Migiro angepitishwa kwa speech yenye viwango. huyo magufuli kafunikwa na wanawake. hajui kupangilia speech cjui akiwa raisi atatuwkilisha vipi kmataifa. Shammme!!

Kitu nilicho-note kwenye hiyo speech... Inaelekea Migiro speech yake aliiandaa muda mrefu na pangine siku nyingi na akaifanyia mazoezi tofauti na wenzake ambao inaonekana wameshtukizwa. Je kuna mtu alikuwa amemhakikishia kuwa atafika 3 bora? Pengine...
 
Kitu nilicho-note kwenye hiyo speech... Inaelekea Migoro speech yake aliiandaa muda mrefu na pangine siku nyingi na akaifanyia mazoezi tofauti na wenzake ambao inaonekana wameshtukizwa. Je kuna mtu alikuwa amemhakikishia kuwa atafika 3 bora? Pengine...

Mh.... Ngoja kdgo umesema?
 
Kama ni kweli kwa uwezo wake huo wa kupangilia speech na maneno aende kuendelea kutufundishia watoto na wasomi wetu Chuo Kikuu uongozi awaachie watenda kazi..

Huyu mama angepata Kiongozi angebakia kuwa JK kwa kumuendesha huyu kwa remote control
 
Ni kweli but tatizo ni kwamba hatuwez kuongozwa na demu
 
hapa mtoa mada alitaka kulinganisha hotuba hizo tatu na kwa kweli amelinganisha vizuri, Migiro alijieleza vema kuliko wote;

ingawa kweli hotuba si sawa na utendaji
 
Back
Top Bottom