Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,409
Tukiachana na mambo mengine kwa mliobahatika kuwaangalia watia nia watatu wa jana kama ni kujudge nani anayejua kujieleza basi mwanamama yule kawashinda wote,kwanza ametulia anajua kuyapangilia maneno na ushawishi wa hali ya juu kwamba hata kama mwanzo mtu ulikuwa humuwazii kwa lolote na wazi kwamba anaweza kubadili fikra zako,kweli mama unafaa na nimeamini ana uwezo mkubwa sana si ajabu ndo mana anateuliwa kwa nyadhifa kubwa kubwa zamani nilikuwa najiuliza what is extra or what is special for her,but now i know.....may God give chance to this INCREDIBLE WOMAN WE HAVE IN TANZANIA TO BE OUR LEADER....AMEN.