Asanteni wote kwa ushauri wenu, Nimefanikiwa kupata ujauzito


Mrs Xian ubarikiwe Mtoto mwma. Hivyo kama ulivyokirimwa njia ya kutengeza Dawa, Nawe wakirimu wengine utengenezaji wa dawa hiyo, kwani wapo wengi wanatamani ujauzito na waoto...ili mzunguko wote utimie! Hongera na ujitunze tuje kukaona kaBaby !!
 
JF ni kama daladala kila mtu anaingia, mwenye akili zake, mwenye akili za kumtosha mwenyewe, wakurupukaji, mpaka mapunguani wamo! usikubali furaha yako iharibiwe na asiyejua maana.
 
Kila la heri na baraka katika safari yako, uwe unatuhabarisha kila nafasi inapokuruhusu kufanya hivyo. Hongera zako nyingi sana.
 

Hongera! tatizo lilikuwa nini dada hadi madokta bingwa wakwambie kwa kauli zinazofanana?
 
Mungu akafungue njia wakati was kujifunguaaa

Operat no
 
Hongera! tatizo lilikuwa nini dada hadi madokta bingwa wakwambie kwa kauli zinazofanana?

nilishawahi kufanyiwa operationa ya sisti( sorry siwezi kuandika kwa kizungu hiyo sisti) nikiwa fm four 2005 na niliambiwa ovary yangu iliharibika na kutolewa ikabaki moja nayo ikawa nusu mbovu, miaka imeenda nimeolewa naafua mtoto hakuna ndio nikashauriwa kupima, mrija mmoja nilio baki nao ukaonekana umeziba wote tena karibia na kizazi, doctors wakasema haifai kusafisha wala kunifanyia operation itakuwa wananisumbua tuu kwani imekaa vibaya sana.

Ndiyo nikashauriwa kupandikiza na gharama yake ilikuwa 12 - 15 m julai ile hiyo hela kwangu ilikuwa kama mitihani ya board ilikuwa ngumu sana hivyo nikaja kuomba msaada hapa wa mawazo, ndiyo ilivyokuwa hivyo kaka
 
Kila la heri na baraka katika safari yako, uwe unatuhabarisha kila nafasi inapokuruhusu kufanya hivyo. Hongera zako nyingi sana.

I wish nijue kupost picha hapa maana kuna watu wanaona nafanya promo ningeweka vyeti na vipimo vyote vile vya kwanza na nilivyopimwa sasa, na niakapoendelea ili wajua siko kipromo. ni kushukuru na ninajua wengi wanatatizo kama hili langu.
 
JF ni kama daladala kila mtu anaingia, mwenye akili zake, mwenye akili za kumtosha mwenyewe, wakurupukaji, mpaka mapunguani wamo! usikubali furaha yako iharibiwe na asiyejua maana.

asante sana
 
Mrs Xian ubarikiwe Mtoto mwma....Hivyo kama ulivyokirimwa njia ya kutengeza Dawa, Nawe wakirimu wengine utengenezaji wa dawa hiyo, kwani wapo wengi wanatamani ujauzito na waoto...ili mzunguko wote utimie !! Hongera na ujitunze tuje kukaona kaBaby !!

Asante sana nimeshafanya hivyo kwa wengine na baadhi wameshafanikiwa haraka wengine naendelea kuwa tia moyo labda nao watachelewa kama mimi ila itawasaidia
 
 
Hongera mpz n Mungu akujaalie uje ujifungue salama, na mie mgen humu ndan jaman nna tatizo hilo pia nsaidie kuijua hyo dawa yakuchanganyia na maelekezo mengine kama yapo
 
SimamaNA Mungu sana sana sana.

Wakati wa kumdhirisha Mungunatoenkiumbe chake wakati muafaka...dini yetu wanasema kuna vitu vinaitwa kisasi. Kemea nankataa kwa dini unayoiamiji...wapo wasioifurahia jambonhili ila kwa damu ya Yesu.

Namhifadhi mama na mtoto na visasi vya ukoo,familia,ndugu,jamaa,majirani,marafiki wala visiwaguse. Mpaka atakapokuja duniani

Mungu natangaza mtoto kuja mud a muafakanmiezi Tisa sharp,,,lolote bay a liliongelewa juu yakee nageuza kwa dameu ya Yesu
 
SimamaNA Mungu sana sana sana
Wakati wa kumdhirisha Mungunatoenkiumbe chake wakati muafaka...dini yetu wanasema kuna vitu vinaitwa kisasi.

Kemea nankataa kwa dini unayoiamini..wapo wasioifurahia jambonhili ila kwa damu ya Yesu
Namhifadhi mama na mtoto na visasi vya ukoo,familia,ndugu,jamaa,majirani,marafiki wala visiwaguse. Mpaka atakapokuja duniani

Mungu natangaza mtoto kuja mud a muafakanmiezi Tisa sharp,,,lolote bay a liliongelewa juu yakee nageuza kwa dameu ya Yesu
 
uliisoma vizuri? aliniambia nikifanikiwa

Nimesoma vizuri, nilikurupuka. Kumbe ilikuwa dawa kwanza malipo baadae.

Asante kwa kunielewesha.

Nimejiridhisha kwamba uko genuine na lengo sio kutangaza biashara.

Mungu awe nawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…