Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,104
hakunipa masharti ni kitu ambacho alivyoniambia hata mimi ni dharau ila nilijipa moyo tuu ni maini robo na nyama ya ng'ombe sehemu ya nundu iliyojaa mafuta unapika pamoja bila maji coz maini yatatoa maji nundu itatoa mafua itaiva then kuna dawa ya kimasai jina niliandika kwenye diary nikiisoma nitakuandikia unachananya unakula baada ya siku 15 unarudia tena na inakuwa basi
habari, wapendwa nakumbuka ilikuwa tarehe 14 ya julai mwaka huu nilivyofanya vipimo baada ya kukaa muda mrefu bila kupata ujauzito nilienda hospital kubwa kama tano hapa dar na nilionana na madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake tofauti tofauti ila wote majibu yao yalikuwa sawa kuwa sitaweza kupata ujauzito kwa njia ya kawaida, labda nijaribu kupandikiza.
kiukweli niliumia sana na nilikuja kuomba msaada wa mawazo hapa nawashukuru wote waliovaa uhusika na kuumia pamoja nami pia nawashukuru hata wale walionitolea maneno mabovu.
basi, baada ya kuleta hapa nilitajiwa dawa mbalimbali ila niliona nianze na dawa ya dada mmoja ambaye yuko singida kwa kuwa ilikuwa ni chakula tuu huyo dada nakumbuka jina lake ni Hornet, toka mwezi wa saba nilivyotumia ikawa kimya nikakata tamaa. mwezi huu wa novemba ndiyo nimegundua kama mimi ni mjamzito.
Julai nilitoka machozi ya uchungu na Mungu amenifuta machozi hayo na kunitoa yenye furaha, nawashukuruni wote kiukweli mlikuwa wengi siwezi kutaja majina ila yaani nimekuwa kama sijielewi kwa furaha, naomba muendelee kuniombea nifike salama safari hii yaa kuelekea kuwa mama
Mungu awabariki sana, dada HORNET NITAKUAFUTA KESHO KWENYE SIMU.
Hongera! tatizo lilikuwa nini dada hadi madokta bingwa wakwambie kwa kauli zinazofanana?
Mungu akafungue njia wakati was kujifunguaaa
Operat no
Kila la heri na baraka katika safari yako, uwe unatuhabarisha kila nafasi inapokuruhusu kufanya hivyo. Hongera zako nyingi sana.
JF ni kama daladala kila mtu anaingia, mwenye akili zake, mwenye akili za kumtosha mwenyewe, wakurupukaji, mpaka mapunguani wamo! usikubali furaha yako iharibiwe na asiyejua maana.
msifu Mungu kwa matendo makuu!
Mrs Xian ubarikiwe Mtoto mwma....Hivyo kama ulivyokirimwa njia ya kutengeza Dawa, Nawe wakirimu wengine utengenezaji wa dawa hiyo, kwani wapo wengi wanatamani ujauzito na waoto...ili mzunguko wote utimie !! Hongera na ujitunze tuje kukaona kaBaby !!
Never give up. In Shaa Allah utapata wa kwako na wewe.
ooh Xian polesana
Wang walimwita anajaza choo,, akuna kama Mungu alipokuja was kwanza just after mmoja nanusu mwaka kingine kikafwata nakupatia upakoo huu in Jesus name ukapate wa. pili ndani yanmiaka miwiili ijayo baada ya kuzaa ,,hongera shemeji huo ndio uanaume nasema daily ndoa nwawili ukiingiza wa Tatu Si ndoa tena..nasikitika ndugu mmoja rafiki yet nae alichelewa kuzaa Mkewe baada ya three yrs kamtimua binti akapata jamaa next yr akabeba kama alivyo binti akuficha kilichomtokea kwa mume wa kwanza
Ili jamaa aamue kuvua ama kuvaa akamweleza nimekupenda we we kama we we...same yr anaapata ujauzito
Shosti niinbox mwenzako bado nina msiba huu ndg yangu bado sijafanikiea pliz tuwasiliane kwa inbox unisaidie na mie pliz
uliisoma vizuri? aliniambia nikifanikiwa