Tafadhali nisaidie link ya group lao telegramTumia Starkvpn ingia kwenye channel yao ya Telegram ili kupata file lake
Ni nini?Nimeamua kuwapongeza ninyi maana bila ninyi maisha yangekuwa magumu sana hususani kwa sisi tunaotegemea internet muda wote...Ila kupitia ninyi mmefanya maisha kuwa rahisi mno asanteni sana..
Nimeingia mbona hamna set up mkuuTumia Starkvpn ingia kwenye channel yao ya Telegram ili kupata file lake
Hao ndo vijana wa hovyo wanaofanya hata wabunge wasiojua shida wala uchungu wa maisha huko mjengoni wanazidi kupitisha miswada ya kipuuzi kuongeza tozo kwenye makampuni ya simu, matokeo yake ISPs nao ili kua capable na running costs za kampuni wanafanya kuongeza gharama za vifurushi... 500 mb250, 1000 mb400, 2000 mb700 & 3000 1gb WTF?Unamwaga matonga mbele ya nguruwe
[emoji23][emoji1787]Kuna vijana wa hovyo sanaaa wenyewe wanaona sifaaa