Asanteni wana Kyela kwa kuikataa CCM

Asanteni wana Kyela kwa kuikataa CCM

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,697
Reaction score
272,570
Sijui nitumie lugha gani inayoweza kutosha kuitumia kutoa shukrani kwenu, hakika Mungu atawalipa, kwa ufupi itoshe tu kusema asante, shukrani pia ziwaendee viongozi wote wa CHADEMA Kyela, wana UKAWA wote wa Kyela kwa kazi kubwa ya kueneza mabadiliko na kuhakikisha CCM na makandokando yake vinakataliwa Kyela, mmetuahidi ubunge, Urais na kama haitoshi mmetuongeza na udiwani, hakika Mungu atawalipa.
 
Kyela wanajitambua vizuri sana. ccm OUT, MWAKIWEMBE OUT!!
 
Kyela wanajitambua vizuri sana. ccm OUT, MWAKIWEMBE OUT!!
Hivi kuna uwezekano wowote wa kumburuza mahakamani mbunge aliyechelewesha maendeleo ya wananchi ? Tunaomba ufafanuzi wa wanasheria .
 
nimemuona Mwakyembe star tv, anasema kyela atashinda kwa kishindo hata asipopiga kampeni
 
Kwani wewe ndie tume,Mwakie atawapa mshangao wa mwaka,tukaja bakonyofu
 
Kwani wewe ndie tume,Mwakie atawapa mshangao wa mwaka,tukaja bakonyofu
Po amukuja bakonyofu ulwa lino , kwani wewe unapiga kura ngapi mkuu ? Mlipewa nafasi mmeichezea msimlaumu mtu .
 
Jamani kura hazipigwi kwa social media.
Ntakuja kutafutana apa matokeo yakitokea
 
Jamani kura hazipigwi kwa social media.
Ntakuja kutafutana apa matokeo yakitokea
usiogope mabadiliko ; mwanyamaki ameahidi kuondoa vumbi mjini , kichocho na kipindupindu kyela .
 
Na mm nimemsikiliza Mwakyembe asubuhi startv. Akatamba kuwa amejenga shule za A level tatu, amejenga madaraja sijui wapi wapi huko, n.k.
Sasa akadai ushindi wa ubunge Kyela upo nje nje. Wanakyela tuambieni ukweli, huyu jamaa ni atashinda?????
 
Na mm nimemsikiliza Mwakyembe asubuhi startv. Akatamba kuwa amejenga shule za A level tatu, amejenga madaraja sijui wapi wapi huko, n.k.
Sasa akadai ushindi wa ubunge Kyela upo nje nje. Wanakyela tuambieni ukweli, huyu jamaa ni atashinda?????

Hivi bado kuna mtu anamwamini huyu jamaa kweli ? Nani asiyejua kwamba daraja la mto mbaka limejengwa na jeshi la wananchi ?
 
Hivi bado kuna mtu anamwamini huyu jamaa kweli ?

Hata mm ndiyo maana nawauliza watu wa Kyela. Haileti maana kabisa kumpa tena ubunge huyu kigeugeu aliyeaminiwa kuwa mpambanaji lkn alipopewa uwaziri akabadilika. Pamoja na madhila yote aliyofanyiwa uwaziri umemsahaulisha kabisa
 
Sijui nitumie lugha gani inayoweza kutosha kuitumia kutoa shukrani kwenu, hakika Mungu atawalipa, kwa ufupi itoshe tu kusema asante, shukrani pia ziwaendee viongozi wote wa CHADEMA Kyela, wana UKAWA wote wa Kyela kwa kazi kubwa ya kueneza mabadiliko na kuhakikisha CCM na makandokando yake vinakataliwa Kyela, mmetuahidi ubunge, Urais na kama haitoshi mmetuongeza na udiwani, hakika Mungu atawalipa.

Tunategemea ushindi toka wana kyela.
 
Back
Top Bottom