Asanten sana wana JF kwa ushauri wenu,nimefanikiwa kumaliza tatizo na x bf wangu.

Na kweli namshukuru mungu sana mkuu.

swali la msingi:hamuishi karibu???
Umetumia rafiki zake kusuka mpango huu,wakimweleza ukweli,umejipangaje?? Kulingana na ulivyomwelezea jamaa,wacwac wangu akifaham ukweli anaweza kukufanyia ki2 mbaya(km alimpiga mkewe mpk mmb ikatoka)
 
siku mambo yakigeua uje utueleze
maana hakunaga siri ya watu wawili



Namjua kwa jinsi anavyoogopa ngoma,kwa style yangu niliyitumia na kwa jinsi alivyopokea ile msg hata angekuja mama yake mzazi amwambie ilikuwa uongo kamwe hataamin, ndio maana wala sina wacwac na hilo,na kweli nina aman tele!
 
No, tulikuwa wapnz kwa miaka 2, akawa cha pombe wa kutupa tukagombana tukaachana,akapata mwanamke mwingine akaoa,ggafla akaanza nitishia nisiwe na bf tena kwan yeye anataka turudiane na nikawa kila nikiwa na bf mwingine anawataka kuachana na mie kwani bado ni mpnz wangu,ndio nikaja kuomba ushauri humu.

Hapo kwenye red. walahi nyie wanawake kazi ipo kweli kweli. Umeshakuwa na wangapi baada ya kumwaga huyo jamaa!
 
Nilileta uzi hapa usemao;'Nisaidien nifanye nn ili aniache na maisha yangu'.Nashukuru nilipata mawazo mengi sana kutoka kwenu,na jtano iliyopita nikayatumia kwa kuwafuta maraki zake 2 wanaommudu nikawaeleza situation nzima,kesho yake wakaonana nae wakataka kujua kwanza 7bu za yeye kunifanya vile akawaambia ananihitaji kwa garama yoyote kwana ndoa yake haina aman na mkewe karudi kwao alimpiga mpaka mimba aliyokuwa nayo ikatoka na wazazi wa mke wamemwambia akachue mahari yake so akaona mtu pekee wa kuweza kumwelewa na kuishi nae ni mimi ndio maana yuko radhi kwa lolote ili mradi turudiane,wakamwambia poa asinisumbue tena kwa vitisho wao wataongea na mimi.

Ijumaa tukakutana tena na wale marafiki zake na kujadili tutumie njia gani, basi nikawapa wazo niliipata humu ya kuwa tutafute cheki cha kuonesha nimeathirika ajue hatuwezi kurudiana,kweli wale marafiki zake wakakubali mmojawao ana rafiki yake ni daktari akaongea nae jana akapata cheti tena chenye tarehe ya mwezi wa nne na kinachoonyesha nimeathirika na ninahudhuria cklinic.

Basi jana jioni tukenda nyumbani kwa mmojawapo wa wale marafiki zake na yeye akaja wakamwambia wameongea na mimi nami nimeomba nimjibu maombi yake mbele ya rafiki zake, nikaanza kwa kumpa pole na matatizo ya ndoa yake then nikamhadithia kuwa nilipoachana nae nilipata bwana akaniambukiza ukimwi na sasa naumwa nikamwonyesha na vyeti vyenye maelezo ya kuugua kwangu,pale ilibidi nivute hisia mpaka machozi yakawa yanatoka ili aamini,basi kusikia vile alistuka yani akawa kama amechanganyikiwa flan akawa ananitizama kwa woga, alisikitika sana na akajiona yeye ndio alisababisha kwan tusingeachana nisingepata hayo matatatizo.


Kwa kweli alijutia sana na akaniomba nimsamehe na akanishukuru kwa kutolipiza kisasi kwan ningeweza kukubali turudiane ili nimwambukize,kwakweli tangu mda ule alikosa amani alikuwa mwoga,hata maneno yakawa yanakatika katika akiongea,akaniahidi pale pale kuwa hatarudia tena kunisumbua kwa namna yoyote ile na kuanzia cku ile ataniheshimu sana kwan nimeyajali sana maisha yake kwa kuwa mkweli kwake,akanitaka niwe na amani kabisa,hata kama nikipata mwanaume atakaeridhika kuwa nami ktk kuugua kwangu yeye ameridhika kabisa na wala hatanifatilia tena,tukamaliza kikao yeye akasema kuna mahali anawahi so akaondoka akatuacha, kwakweli atulicheka sana alipoondoka kwani jamaa aliogopa hata kunipa mkono tuagane,wakuu nashukuruni sana sana kwani sasa nina aman tele moyoni,mungu awabariki sana.

hapo kwenye blue: kuna mtu humu alishawahi kuleta thread inayoongelea uwezo mkubwa wa wanawake ku pretend hadi kufikia kiwango cha kulia kwa mambo waliyotenda lakini wanakataa. Ndiyo maana huwa nasema mwanaume lazima ukomae kwa kila jambo unaloamini uko sahihi, vinginevyo hawa 'jamaa' wanweza kukuchezea shere ukaamini kweli kumbe ni fix tu, kudadadeki!
 
mpaka hao dada umeshajiwekea gundu, lazima utapata ukimwi tu, piga ua. Kwani umesahau kuwa maneno yanaumba?
 
Dah! Pole sana...inahitaji moyo wa hali ya juu kuchukua hatua ulizochukua hadi kutafuta vyeti vya kuthibitisha kwamba umeathirika. Natumai hii story yako umeibadilisha kidogo ili asikushtukie kama naye huingia hapa. Nakutakia maisha mema baada ya kumuepuka msumbufu huyu.
 
Hongera Cantalisia,

Wasi wasi wangu ni kuwa kama ameondoka kachanganyikiwa, lazima atatafuta mtu wa kumhadithia ili stress kwa upande wake zipungue. Itakuwaje kama atakayemuhadithia amuhadithie mwingine na chain hiyo ikue haraka sana, mwisho watu wako wa karibu wajue wewe umeathirika na kuna ushahid maana jamaa kaviona vyeti! Unadhani hiyo haitakuharibia kupata mchumba mwingine! Maana wakikuona tu na mwanaume, hata kama kaka yako, wanamnong'oneza, pale hapafai, jamaa alishaonyeshwa vyeti???
Wala hata akitangaza vp kama wangu yupo basi hataweza kumzuia kwani akipata hiyo story mwanaume makini lzm atanitaka tukapime na ndipo ataumbuka huyo mmbea, isitoshe wengi wananjua tulikuwa wapenz na anajulikana kwa ulevi na hata alipooa watu walijua pia na mkewe alipomkimbia pia watu wanajua so watajua ni mfa maji tu haishi kutapatapa, wali halinisumbi kabisa!
 
mhhhhhhhhhhh
inakuwa ngumu kidogo ati
anyway subiri tu
utulie na uache micharuko sasa
usidandie tena mume wa mwanamke mwenzio


Wala hata akitangaza vp kama wangu yupo basi hataweza kumzuia kwani akipata hiyo story mwanaume makini lzm atanitaka tukapime na ndipo ataumbuka huyo mmbea, isitoshe wengi wananjua tulikuwa wapenz na anajulikana kwa ulevi na hata alipooa watu walijua pia na mkewe alipomkimbia pia watu wanajua so watajua ni mfa maji tu haishi kutapatapa, wali halinisumbi kabisa!
 
Dah! Pole sana...inahitaji moyo wa hali ya juu kuchukua hatua ulizochukua hadi kutafuta vyeti vya kuthibitisha kwamba umeathirika. Natumai hii story yako umeibadilisha kidogo ili asikushtukie kama naye huingia hapa. Nakutakia maisha mema baada ya kumuepuka msumbufu huyu.
Asante sana mkuu, nashukuru mungu nilipata mawazo ya kutosha hapa na nikayafanyia kazi,humu haingiagi na kati ya watu wanaoonaga hii mitando haina maana yeye ni mmojawapo.
 
mhhhhhhhhhhh
inakuwa ngumu kidogo ati
anyway subiri tu
utulie na uache micharuko sasa
usidandie tena mume wa mwanamke mwenzio
Sinaga hoby ya kufanywa kidumu,na sijawahi kuwa mcharuko labda mtu anicharue hapo nacharukaga kweli kweli!
 
mpaka hao dada umeshajiwekea gundu, lazima utapata ukimwi tu, piga ua. Kwani umesahau kuwa maneno yanaumba?
Hiyo ni iman tu inamaana yote ya uongo ambayo ulishajisingizia yamekupata? au unataka kutuambia hujawahi kukutwa na situation ikakulazimu kusema uongo?Nikiutaka kweli nitaupata, ila ule wa bahati mbaya hata wewe ambae hujajichuria unaweza kuupata pia!
 
hapo kwenye blue: kuna mtu humu alishawahi kuleta thread inayoongelea uwezo mkubwa wa wanawake ku pretend hadi kufikia kiwango cha kulia kwa mambo waliyotenda lakini wanakataa. Ndiyo maana huwa nasema mwanaume lazima ukomae kwa kila jambo unaloamini uko sahihi, vinginevyo hawa 'jamaa' wanweza kukuchezea shere ukaamini kweli kumbe ni fix tu, kudadadeki!
Habari ndio hiyo mkuu, maishani usanii muhimu sana hasa unapotakafuta aman ya moyo.
 
Hapo kwenye red. walahi nyie wanawake kazi ipo kweli kweli. Umeshakuwa na wangapi baada ya kumwaga huyo jamaa!
Kabla sijakujibu unaweza kukummbuka mpaka sasa umeshawavuanguo wangapi?na wangapi umewatapeli?usiangalie kibanzi kwenye jicho la mwenzio.................!
 
Back
Top Bottom