fabinyo
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 2,991
- 2,108
shida ndio hiyo,yeyote aliecheza hiyo dili atadai,tena watataka ngono tu hivyo jiandaehuyo daktari atarudi kudai asante yake lol
trust me
shida ndio hiyo,yeyote aliecheza hiyo dili atadai,tena watataka ngono tu hivyo jiandaehuyo daktari atarudi kudai asante yake lol
trust me
Huyo jamaa sio memba hapa JF?Hawezi bwana ni mtu wanaheshimiana na alikuwa ameridhika kunisaidia.
Yani wewe acha tu,taarifa ilimnyong'onyeza mpaka ubabe wote kwisneiiii!kwel ngoma noma,yan jamaa alishndwa hata kukushka mkono!
Wala haijui jf kbs!Huyo jamaa sio memba hapa JF?
Namjua kwa jinsi anavyoogopa ngoma,kwa style yangu niliyitumia na kwa jinsi alivyopokea ile msg hata angekuja mama yake mzazi amwambie ilikuwa uongo kamwe hataamin, ndio maana wala sina wacwac na hilo,na kweli nina aman tele!Penye uongo ukweli ukaa kando na hakuna siri ya watu wawili umefunika moto kwa blanketi ohooo kumbuka wale ni marafiki zake so tegemea akafahamu kila kitu labda tu aamue kupotezea... ila ni vyema kwani utakuwa na amanii
nilikuwa namwambia lola..
na wewe naona sitaki nataka lol
Tutaonana usijali,andaa mshiko tu nikuuzie story, kwa sasa nina mapumziko yote!Sasa unahitaji pumziko la nafsi,mwili na roho!naomba 2onane,unipe story nzima nitoe kitabu..
Namjua kwa jinsi anavyoogopa ngoma,kwa style yangu niliyitumia na kwa jinsi alivyopokea ile msg hata angekuja mama yake mzazi amwambie ilikuwa uongo kamwe hataamin, ndio maana wala sina wacwac na hilo,na kweli nina aman tele!
mh! jamani mimi sikubaliani na njia uliyoitumia kumkwepa huyo jamaa, kujipakazia ugonjwa haifai kabisa dada yangu,, bora ungetafuta njia nyingine kabisa mimi mwenyewe kuna mtu alikuwa ananisumbua nilipoona anazidi nikawa hata sipokei simu wala kujibu email, sms zake na nikamwondoa kabisa kwenye list ya marafiki Facebook baada ya kuona niko serious si respond kila anachofanya yeye mwenyewe akaniandikia ujumbe sitakusumbua tena sikumjibu nikakaa kimya mpaka leo akiniona anabadilisha mpaka njia...
Hongera Cantalisia,
Wasi wasi wangu ni kuwa kama ameondoka kachanganyikiwa, lazima atatafuta mtu wa kumhadithia ili stress kwa upande wake zipungue. Itakuwaje kama atakayemuhadithia amuhadithie mwingine na chain hiyo ikue haraka sana, mwisho watu wako wa karibu wajue wewe umeathirika na kuna ushahid maana jamaa kaviona vyeti! Unadhani hiyo haitakuharibia kupata mchumba mwingine! Maana wakikuona tu na mwanaume, hata kama kaka yako, wanamnong'oneza, pale hapafai, jamaa alishaonyeshwa vyeti???