Mkulung Member Feb 15, 2018 22 13 Feb 20, 2018 #1 Nimda sasa nimekua nikihangaika sana jinsi gani, naweza kudumbukia hum kwenye hili bwawa la waungwana wa kila aina.Asanten kwa walionisaidia kwa hili.
Nimda sasa nimekua nikihangaika sana jinsi gani, naweza kudumbukia hum kwenye hili bwawa la waungwana wa kila aina.Asanten kwa walionisaidia kwa hili.
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,046 10,695 Feb 22, 2018 #2 Karibu sana JF mjukuu wetu hapa GT.
Chunga Sana Senior Member Feb 3, 2015 117 88 Feb 22, 2018 #6 Beef Lasagna said: Karibu Click to expand... Nicheki chemba
Mideko JF-Expert Member Mar 30, 2015 36,470 196,455 Feb 22, 2018 #7 Chunga Sana said: Nicheki chemba Click to expand... Ndio wapi
Mkulung Member Feb 15, 2018 22 13 Feb 28, 2018 Thread starter #8 kitalembwa said: umri wako ? jinsia ? weka picha Click to expand... Jinsia inajieleza kwenye jina umri ni 23 ni kijana ambaye bado nina nguvu kwakweli.
kitalembwa said: umri wako ? jinsia ? weka picha Click to expand... Jinsia inajieleza kwenye jina umri ni 23 ni kijana ambaye bado nina nguvu kwakweli.