Asante Whatsapp umenipatia mpenzi

Asante Whatsapp umenipatia mpenzi

Salama Jay

Senior Member
Joined
Oct 24, 2013
Posts
131
Reaction score
68
Nimekua katika mahusiano na mkaka mmoja for a while now...

Kama mwaka,honestly speaking at first wakati tunaanza kujuana,sikua na nia nae kabisa..yaani hakua love at first sight,bt since nilikua single nikaamua tu kua nae...as days go by nikajifunza kupenda...kiukweli I regret,coz nilimpenda kupita Maelezo.

This guy has always been busy aisee...yupo dar nipo dar bt kuonana miezi inapita...at first nilijua ni ubusy wa kawaida tu coz as u know guys around 27 to 30 ndo maisha yanajengeka...ok Lt me go to the point now..

Kuna siku nipo home tu..kuna mtu akanitxt kupitia WhatsApp,kumuuliza Nani hanipi jibu straight so I decided hii dial niisave siku akiweka picha ntaona!sasa bwana siku ya birthday ya mchumba ikafika,si mnajua tena WhatsApp mara mpenzi awekwe na kawish Kwa chini..

I was just passing through my dials nikaona baby kawekwa na status juu happy birthday my sweetheart.. Kwenye ile namba iliyokua inanisumbua,I didn't waste time nikachukua ile namba...called it kupitia simu nyingine

Conversations ikawa hivi

Mimi: hello mambo
Yeye: Poa Nani
Mimi: Sorry nimeokota simu Ubungo ya mtu inaishia na namba 42 kakusave sweetheart nimeona nikupigia uje ufuate simu coz nimeona ww ni mtu wake ya karibu.
Yeye: Yah ni mume wangu

Trust me hakuna anayetaka kusikia this words..honestly niliumia Sana..n thought to myself.,y did I even learn to love this guy..one thing I have learnt,mwanaume akiwa busy kupita Maelezo kuna something behind..aisee nyie wanaume mnaumiza Sana.

Hvi kwanin mnakua hamna huruma, unamdanganya mtu mpka anakubali kukuweka moyoni n at the end of the day unajua kabsa hutokua nae!
 
Hahah imebidi tu nicheke tokana na hiyo conversation yenu!
Ila pole mwaya nimekuonea huruma
 
Nimekua katika mahusiano na mkaka mmoja for a while now...Kama mwaka,honestly speaking at first wakati tunaanza kujuana,sikua na nia nae kabisa..yaani hakua love at first sight,bt since nilikua single nikaamua tu kua nae...as days go by nikajifunza kupenda...kiukweli I regret,coz nilimpenda kupita Maelezo..this guy has always been busy aisee...yupo dar nipo dar bt kuonana miezi inapita...at first nilijua ni ubusy wa kawaida tu coz as u know guys around 27 to 30 ndo maisha yanajengeka...ok Lt me go to the point now..kuna siku nipo home tu..kuna mtu akanitxt kupitia WhatsApp,kumuuliza Nani hanipi jibu straight so I decided hii dial niisave siku akiweka picha ntaona!sasa bwana siku ya birthday ya mchumba ikafika,si mnajua tena WhatsApp mara mpenzi awekwe na kawish Kwa chini..I was just passing through my dials nikaona baby kawekwa na status juu happy birthday my sweetheart.. Kwenye ile namba iliyokua inanisumbua,I didn't waste time nikachukua ile namba...called it kupitia simu nyingine

Conversations ikawa hivi
Mim:hello mambo
Yey😛oa Nani
Mim:sorry nimeokota simu ubungo ya mtu inaishia na namba 42 kakusave sweetheart nimeona nikupigia uje ufuate simu coz nimeona ww ni mtu wake ya karibu.
Yey:yah ni mume wangu

Trust me hakuna anayetaka kusikia this words..honestly niliumia Sana..n thought to myself.,y did I even learn to love this guy..one thing I have learnt,mwanaume akiwa busy kupita Maelezo kuna something behind..aisee nyie wanaume mnaumiza Sana.Hvi kwanin mnakua hamna huruma,unamdanganya mtu mpka anakubali kukuweka moyoni n at the end of the day unajua kabsa hutokua nae!
Mbona kama akili yangu imekataa kukuelewa? uwe na mtu mwaka hajawahi kukupeleka nyumbani kwake na bado tu hujijui kama jamaa anajipigia tu aende zake basi kichwa chako kina matatizo.
 
Mapenzi ya siku hizi ni ukichaa mtupu. Yaani unateswa na mtu ambaye hata humjui vizuri. Ndio mana siku hizi mnafanywa kama big G, mnamegwa mnatupwa. Safi kabisa nami nasema mmegwe tu, mana hamna namna.
 
Mbona kama akili yangu imekataa kukuelewa? uwe na mtu mwaka hajawahi kukupeleka nyumbani kwake na bado tu hujijui kama jamaa anajipigia tu aende zake basi kichwa chako kina matatizo.

Kwake nilienda Mara kadhaa,kipindi naenda mke alikua bagamoyo na hakuna siku nimekutana na nguo wa dalili zozote za kua kuna mtu mwingine..so yy anakaa maeneo ya kigamboni..so tulikua na shift ,kipindi anaenda bagamoyo alikua anaaga anaenda Kwa ndugu yake kumfanyia hesabu ya mwezi coz ana biashara uko..na pia siri ya mtu ipo moyoni mwake
 
Mapenzi ya siku hizi ni ukichaa mtupu. Yaani unateswa na mtu ambaye hata humjui vizuri. Ndio mana siku hizi mnafanywa kama big G, mnamegwa mnatupwa. Safi kabisa nami nasema mmegwe tu, mana hamna namna.
Eheee... We vp kwani kupanic uko,kumegwa nimegwe mie we upanic uko vepee...relax,ngoma bado ipo hajaondoka nayo wala kuacha nembo yake..
 
These things do happen, you just pull yourself and let life go on! These things remind me of the song Heartbroken hotel by Whitney Houston
 
Nimekua katika mahusiano na mkaka mmoja for a while now...Kama mwaka,honestly speaking at first wakati tunaanza kujuana,sikua na nia nae kabisa..yaani hakua love at first sight,bt since nilikua single nikaamua tu kua nae...as days go by nikajifunza kupenda...kiukweli I regret,coz nilimpenda kupita Maelezo..this guy has always been busy aisee...yupo dar nipo dar bt kuonana miezi inapita...at first nilijua ni ubusy wa kawaida tu coz as u know guys around 27 to 30 ndo maisha yanajengeka...ok Lt me go to the point now..kuna siku nipo home tu..kuna mtu akanitxt kupitia WhatsApp,kumuuliza Nani hanipi jibu straight so I decided hii dial niisave siku akiweka picha ntaona!sasa bwana siku ya birthday ya mchumba ikafika,si mnajua tena WhatsApp mara mpenzi awekwe na kawish Kwa chini..I was just passing through my dials nikaona baby kawekwa na status juu happy birthday my sweetheart.. Kwenye ile namba iliyokua inanisumbua,I didn't waste time nikachukua ile namba...called it kupitia simu nyingine

Conversations ikawa hivi
Mim:hello mambo
Yey😛oa Nani
Mim:sorry nimeokota simu ubungo ya mtu inaishia na namba 42 kakusave sweetheart nimeona nikupigia uje ufuate simu coz nimeona ww ni mtu wake ya karibu.
Yey:yah ni mume wangu

Trust me hakuna anayetaka kusikia this words..honestly niliumia Sana..n thought to myself.,y did I even learn to love this guy..one thing I have learnt,mwanaume akiwa busy kupita Maelezo kuna something behind..aisee nyie wanaume mnaumiza Sana.Hvi kwanin mnakua hamna huruma,unamdanganya mtu mpka anakubali kukuweka moyoni n at the end of the day unajua kabsa hutokua nae!

Pole asee,hili ndio tatizo la watu ambao c manguli wa hii fani.Alitakiwa akwambie ukweli tu tokea mwanzo ili ww mwenyewe uamue kulinywa au kulimwaga.Kiukwel mm nasemaga tu kwa sababu icje tokea akapgiwa simu na mwenye mali badala ya kunikana akaleta majanga
 
Siku nyingine jifunze kutuweka akilini au mahali pengine popote...

Lakini huko moyoni subiri hadi utapopata mume ndio anayestahili kukaa huko...

Umeelewa??
Alikuwa kwenye process ya kupata mume, asingemuweka moyoni angempenda vipi?
 
Alikuwa kwenye process ya kupata mume, asingemuweka moyoni angempenda vipi?

Kwa kutumia akili...

Sasa yeye mgeni kampeleka chumbani badala ya sebuleni...
 
Pole sana dear...sijui wanaume wanaonaga ugumu gani kufunguka kwamba wameoa...sijui wamelogwaaaaaa. Kwani kama u km eoa si unafunguka tuu ili binti akiamua kuwa mchepuko ajue!!!
OLE WA MTU ANIDANGANYE HAJAOA NIJE NIGUNDUE....NITAMPIGA MPAKA KILA ANAYEMUONA ANAMSKIKITIKIA KWAMBA HUYU SIO KUPIGWA TUU NA KUBAKWA AMEBAKWA....SHEZIIIIII
 
Kwa kutumia akili...

Sasa yeye mgeni kampeleka chumbani badala ya sebuleni...
Unapompenda mtu huwezi kucontrol feelings, na sisi wanawake tukipenda kweli tunajiweka mzima mzima, ndivyo ilivyo. Jamaa alitakiwa awe muwazi ili bidada aelewe kabisa ni aina gani ya mahusiano anayoingia.
 
Back
Top Bottom