Asante wana Jamii/Mke wangu sasa kashika Mimba.

Amu mimi ni mtu msomi,nafanya kazi nzuri na malipo mazuri.Sitaki hata mia yako ila kama una mkeo ana matatizo mlete alafu nitakuelekeza kwa huyo mtoa dawa ila kabla sijakupeleka nitataka udhibitisho kutoka kwa doctor kwamba una uwezo wa kuzaa.wana ndoa wengi sio wakweli,mtu anajua hana kizazi alafu anasumbua kwa kuwapa watu lawama ili kuficha matatizo yake.
ni kweli alikua na matatizo
so usiogope sema neno amu!!
 
Last edited by a moderator:

Huyo mtaalamu amekwambia hataki wangonjwa waende kwake moja kwa moja? Mpaka wewe uwafanyie usaili?
 
DAWA SITOI MIMI ILA NITAKUELEKEZA KWA MTOA DAWA ILA KABLA YA KUKUELEKEZA ITABIDI MNITHIBITISHIE KWAMBA MNA UWEZO WA KUZAA YAANI UWE UMEPITIA KWA DOCTOR KUMBUKENI KUNA WAGUMBA WA KIKE NA KIUME NA WENGINE HUFICHA NA KUPENDA KUWALAUMU WATU ILI KUFICHA MADHAIFU YAO.SIKULAZIMISHI WALA KUKUBEMBELEZA bila cheti usije.
 
Huyo mtaalamu amekwambia hataki wangonjwa waende kwake moja kwa moja? Mpaka wewe uwafanyie usaili?
Kama utaweza kumfikia sawa tu ila ukipitia kwangu ni lazima unionye hivyo vitu ili kuepuka lawama,isije ikawa wewe ni mgumba alafu ukanipa lawama eti mimi ni tapeli
kumbe wewe ndio mgumba.napenda kueshiwa.mimi nina kazi yangu.
 
Kama utaweza kumfikia sawa tu ila ukipitia kwangu ni lazima unionye hivyo vitu ili kuepuka lawama,isije ikawa wewe ni mgumba alafu ukanipa lawama eti mimi ni tapeli
kumbe wewe ndio mgumba.napenda kueshiwa.mimi nina kazi yangu.

Naona umekazania kusema una kazi yako...!! Lol

Mimi nataka kuonana na mtaalamu moja kwa moja, vyeti vyangu nataka akavione yeye sio wewe..!

Weka namba yake ya simu sasa..!!
 
Acha usanii,yaani ushakuwa ndundami wa mganga?;kwa hiyo unarejista vyeti wewe halafu ndo

uruhusu mganga atoe dawa? Au vipi cjaelewaelewa hapo.;we sema tu mi ndo mganga na nataka msaada

kutoka kwa madaktari wa hospitali wanianzishie uhakika.
 
Acha usanii,yaani ushakuwa ndundami wa mganga?;kwa hiyo unarejista vyeti wewe halafu ndo

uruhusu mganga atoe dawa? Au vipi cjaelewaelewa hapo.;we sema tu mi ndo mganga na nataka msaada

kutoka kwa madaktari wa hospitali wanianzishie uhakika.

kinyanyamba acha kunichekesha,mimi sio mganga na sitoi dawa ila naogopa kumpereka mtu mgumba kisha anichafulie jina kwama mimi ni tapeli na nimemuelekeza kwa tapeli mwezangu.
 
tuko pamoja
Amu uwe mzito zaidi ya hapo lakini mimi sio msanii,mke wangu yupo mimba anayo na vyeti vya hosp nilivyoangaika navyo vipo.ukiamini sawa usipoamini sawa,hulazimishwi wala hubembelezwi.
 
Naona umekazania kusema una kazi yako...!! Lol

Mimi nataka kuonana na mtaalamu moja kwa moja, vyeti vyangu nataka akavione yeye sio wewe..!

Weka namba yake ya simu sasa..!!

utundu wako unaongezeka sana
 
kweli kabisa mke wangu atakuwa Smile au Passion Lady kama si Paloma
 
Last edited by a moderator:
Amu uwe mzito zaidi ya hapo lakini mimi sio msanii,mke wangu yupo mimba anayo na vyeti vya hosp nilivyoangaika navyo vipo.ukiamini sawa usipoamini sawa,hulazimishwi wala hubembelezwi.
Kwani ugomvi!
mkeo mjamzito!
shida iko wapi?
Au kwa kuwa nimesahau kukupa hongera?
Hongera kaka, na kila la kheri.
 
SO wewe ndo mganga mwenyewe?
mbona masharti kibao ndugu!!
au ni njia ya kutafuta soko?

ASANTE DIGITALI

 




yaani unanitibua unavyokomalia uoneshwe vyeti kama wewe ndio mtoa hiyo dawa. We peleka watu wakapewe hicho kikombe mwenzio loliondo mbona hakuwa na hiyani. Aaaaah punguza vikwazo
 
Baada ya kupata msaada sasa kaanza kutekeleza masharti ya mganga!
kaanzia kwa wana jF.kama kweli ana nia ya dhati ya kusaidia watu, asitoe masharti kama vile yeye ndiyo mganga mwenyewe wa jadi!
Nachoamini amejifunza kuhusu dawa za uzazi wa majira na madhara yake na hawatarudia kuzitumia tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…