Ndio mkuu hata kuingia chumvini wanatofautiana, wengine huingia mwanzo wa game na wengine huingia mwishoni.

Mkuu unaweza wa kutumia smartphone ambayo haijapita mikononi wa wachini? Asilimia kubwa ya Watanzania tunaijua smartphone kupitia hawa watu.sidhani kama mchina anahusika hapo, hio feature ipo kwenye smartphone zaidi ya miaka 15 iliopita
Mkuu Watanzania Kwa maswali wamebobea ndo maana hata yule mtu wa Mbeya aliyeishukuru serikali Kwa kupeleka kupatwa Kwa jua huko Mbeya hii kitu imezua maswali mengi Sana.Mtoa thread kwa ishu kamaa hii hukupaswa kuanzisha ya kujishusha kiasi hicho.
Zaidi ungetengeneza thread sasa ya nini cha kufanya ili mtumiaji apate hiyo huduma.
Si unaona sasa maswali yamekuwa mengi.
Cc: Chief-MkwawaUmefanyaje?
Teheteheheeee...Mkuu Watanzania Kwa maswali wamebobea ndo maana hata yule mtu wa Mbeya aliyeishukuru serikali Kwa kupeleka kupatwa Kwa jua huko Mbeya hii kitu imezua maswali mengi Sana.
yap zipo za vietnam, india, mexico, brazil etc. na kazi yao wachina ni kupachika tu, technology zinagunduliwa kwengine na kuwa manufactured na kampuni kama samsung, intel, TSMC na global foundry halafu zinaenda viwanda vya kupachikia kama Foxconn china ili viekwe pamoja na kuwa simu au laptop au device nyengine.Mkuu unaweza wa kutumia smartphone ambayo haijapita mikononi wa wachini? Asilimia kubwa ya Watanzania tunaijua smartphone kupitia hawa watu.
Mwenzio kashtuka disko limeisha ila wewe milango inafungwa bado umelalaUna fanyaje au unatumia usb
unachotakiwa kufanya ni kuwasha hotspot kwenye Simu yako then washa WiFi kwenye PC halafu connect wengine modem tulizitupa miaka ya 90Kama ishu ya Mwendokasi inatutoa povu, tutaweza kuaseamble smartphone phone mkuu?yap zipo za vietnam, india, mexico, brazil etc. na kazi yao wachina ni kupachika tu, technology zinagunduliwa kwengine na kuwa manufactured na kampuni kama samsung, intel, TSMC na global foundry halafu zinaenda viwanda vya kupachikia kama Foxconn china ili viekwe pamoja na kuwa simu au laptop au device nyengine.
hata Tanzania tukiamua kuwa wapachikaji tunaweza, maana haihitaji ujuzi mkubwa, uwe tu na watu wa kutosha ambao wapo tayari kufanya kazi zaidi ya masaa 8 na kupokea mishahara midogo