Baada ya kuwavumilia kwa takriban miaka minane na manyanyaso, Huduma mbovu ndani ya benk kadhalika na Atm machine zao, LEO nimeamua kuachana kabisa na benki hii kwa kufanya mambo yafuatayo
1; nimehamisha salio langu lote
2; nimevunja kadi zao zote kuanzia utambulisho mpaka atm kadi zao
3;nimehamisha mshahara kupitia kwao kudadadeki zao
4;nimezinguana na costomer service manager wao
wa tawi moja hapa town
5;nimekuja kuwapa taarifa humu wana jf wenzangu wanaofikiria kujiunga na benk hii wasithubutu itakula kwao.
Benk hawataki kubadirika, kazi kuajiri midioker tu na watu wasiojiweza, mtu dirishani kwa teller anatumia zaidi ya nusu saa bila sababu ya msingi, na siyo dar tu nimeenda matawi yao kibao kama Tabora, morogoro, dar ndo balaa, mtwARA ndo shida kabisa kudadadeki zao, nimejiendea CRDB yan burudani kumbe nilikuwa nachelewa tu siku zote hz, hongereni CRDB hasa holland branch kwa kazi nzuri.
Baada ya kuwavumilia kwa takriban miaka minane na manyanyaso, Huduma mbovu ndani ya benk kadhalika na Atm machine zao, LEO nimeamua kuachana kabisa na benki hii kwa kufanya mambo yafuatayo
1; nimehamisha salio langu lote
2; nimevunja kadi zao zote kuanzia utambulisho mpaka atm kadi zao
3;nimehamisha mshahara kupitia kwao kudadadeki zao
4;nimezinguana na costomer service manager wao
wa tawi moja hapa town
5;nimekuja kuwapa taarifa humu wana jf wenzangu wanaofikiria kujiunga na benk hii wasithubutu itakula kwao.
Benk hawataki kubadirika, kazi kuajiri midioker tu na watu wasiojiweza, mtu dirishani kwa teller anatumia zaidi ya nusu saa bila sababu ya msingi, na siyo dar tu nimeenda matawi yao kibao kama Tabora, morogoro, dar ndo balaa, mtwARA ndo shida kabisa kudadadeki zao, nimejiendea CRDB yan burudani kumbe nilikuwa nachelewa tu siku zote hz, hongereni CRDB hasa holland branch kwa kazi nzuri.
Baada ya kuwavumilia kwa takriban miaka minane na manyanyaso, Huduma mbovu ndani ya benk kadhalika na Atm machine zao, LEO nimeamua kuachana kabisa na benki hii kwa kufanya mambo yafuatayo
1; nimehamisha salio langu lote
2; nimevunja kadi zao zote kuanzia utambulisho mpaka atm kadi zao
3;nimehamisha mshahara kupitia kwao kudadadeki zao
4;nimezinguana na costomer service manager wao
wa tawi moja hapa town
5;nimekuja kuwapa taarifa humu wana jf wenzangu wanaofikiria kujiunga na benk hii wasithubutu itakula kwao.
Benk hawataki kubadirika, kazi kuajiri midioker tu na watu wasiojiweza, mtu dirishani kwa teller anatumia zaidi ya nusu saa bila sababu ya msingi, na siyo dar tu nimeenda matawi yao kibao kama Tabora, morogoro, dar ndo balaa, mtwARA ndo shida kabisa kudadadeki zao, nimejiendea CRDB yan burudani kumbe nilikuwa nachelewa tu siku zote hz, hongereni CRDB hasa holland branch kwa kazi nzuri.
Baada ya kuwavumilia kwa takriban miaka minane na manyanyaso, Huduma mbovu ndani ya benk kadhalika na Atm machine zao, LEO nimeamua kuachana kabisa na benki hii kwa kufanya mambo yafuatayo
1; nimehamisha salio langu lote
2; nimevunja kadi zao zote kuanzia utambulisho mpaka atm kadi zao
3;nimehamisha mshahara kupitia kwao kudadadeki zao
4;nimezinguana na costomer service manager wao
wa tawi moja hapa town
5;nimekuja kuwapa taarifa humu wana jf wenzangu wanaofikiria kujiunga na benk hii wasithubutu itakula kwao.
Benk hawataki kubadirika, kazi kuajiri midioker tu na watu wasiojiweza, mtu dirishani kwa teller anatumia zaidi ya nusu saa bila sababu ya msingi, na siyo dar tu nimeenda matawi yao kibao kama Tabora, morogoro, dar ndo balaa, mtwARA ndo shida kabisa kudadadeki zao, nimejiendea CRDB yan burudani kumbe nilikuwa nachelewa tu siku zote hz, hongereni CRDB hasa holland branch kwa kazi nzuri.
kwa hiyo CRDB ndio ina uhafadhali?
Aisee hongera ngoja nimwite mteja mwenzio wa hiyo benki Nyani Ngabu maana amewahi kuleta kilio Kama chako.
kwa hiyo CRDB ndio ina uhafadhali?
Nilishawatupia kapuni miaka miwili iliyopita, Nilikaa nje muda zaidi ya miezi sita hivyo account yangu haikuwa active, nikaambiwa nianze process zote kuanza utambulisho wa makazi kwa mwenyekiti wa serikali ya kijiji, mahakama nk kana kwamba ndo nafungua upya account. Process zilinichukua zaidi ya siku nne bila kuona kinachoendelea, basi rafiki yangu pale kaniambia nenda CRDB uone mambo. Kwa vile nilikwa NBC pale tawi la Twiga makao makuu mkabala na bandari karibu na St Joseph Cathedral, nikachanganya miguu hadi jengo la William Mkapa mkabala na posta mpya, nikapokelewa kama mfalme na kukabidhiwa form ya kufungua account na kwamba taratibu za kufungua account ni kitambulisho tu kilicho halali kiserikali.
Nikageuza na kwenda NBC kuchukula pesa zangu zote bila kuacha salio na kwenda kuzitumbukiza zote CRDB. Hawa wako wazuri, na huduma zao kama bank za ughaibuni vile. Wanaoendelea NBC nawapa pole. CRDB statement naipata kwa email kila mwezi.
Huduma zao za kiwango cha kimataifa, wako wazi, hakuna kuzungushana na haraka. Ugunguaji account mpya ni kitambulisho chako kama passport, leseni ya udereva, kitambulisho cha taifa, kama huna basi utatakiwa uwe na barua ya mwenyekiti wa serikali za mitaa. Tofauti huku NBC unahenyeshwa kama si raia na vitambulisho haikubaliki mpaka barua ya mwenyekiti serikali za mitaa na pengine wakudai pia notary mahakamani.
Nilishawatupia kapuni miaka miwili iliyopita, Nilikaa nje muda zaidi ya miezi sita hivyo account yangu haikuwa active, nikaambiwa nianze process zote kuanza utambulisho wa makazi kwa mwenyekiti wa serikali ya kijiji, mahakama nk kana kwamba ndo nafungua upya account. Process zilinichukua zaidi ya siku nne bila kuona kinachoendelea, basi rafiki yangu pale kaniambia nenda CRDB uone mambo. Kwa vile nilikwa NBC pale tawi la Twiga makao makuu mkabala na bandari karibu na St Joseph Cathedral, nikachanganya miguu hadi jengo la William Mkapa mkabala na posta mpya, nikapokelewa kama mfalme na kukabidhiwa form ya kufungua account na kwamba taratibu za kufungua account ni kitambulisho tu kilicho halali kiserikali.
Nikageuza na kwenda NBC kuchukula pesa zangu zote bila kuacha salio na kwenda kuzitumbukiza zote CRDB. Hawa wako wazuri, na huduma zao kama bank za ughaibuni vile. Wanaoendelea NBC nawapa pole. CRDB statement naipata kwa email kila mwezi.
Nazidi kuhamasika kuachana nao kabisa.