lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 791
- 417
Asante kaka Mungu akubarikiKuwa mtumishi mzur na zingatia ethics za kazi yako.
Mungu akuongoze na akulinde mi bado nahangaika..
Hongera zako.
Nianze kwa kukupa Pole hasa wakati ule uliposota na kutafuta Kazi,Hata mie hiyo Hali ilinipata Ndani ya mwaka mzima nasaka Kazi,Ilifikia hatua napata mlo mmoja tu kwa kuwa sikuwa na hela ya kujikimu,Ila Leo nami naungana Nawe kumshukuru MUNGU kwa wema alionitendea,Vijana wenzangu tukipata Kazi tumkumbuke sana MUNGU na kuwasaidia wenzetu.
Kuwa mtumishi mzur na zingatia ethics za kazi yako.
Mungu akuongoze na akulinde mi bado nahangaika..
Hongera sana, kumbuka kutimiza wajibu wako na umuombe sana Mungu maana huko makazini majungu hayaishi
Umepata kazi sasa fanya kazi. All the best.
Hongera sana mkuu!as for me now naingia mwaka wa 3 wa utafutaji wa ajira all the best mkuu!
Jenga kwanza halafu oa halafu boresha familia achana na stare he ikiwezekana hata soda usinywe utafanikiwa
Hongera sana.
........ Usisahau ile sentensi ya mwisho kwenye maombi yako ya kazi
(Yours faithfully).......... keep it.