Mukua
Senior Member
- Sep 30, 2021
- 156
- 202
Huyu ndiye rais aliye chaguo la Mungu, wengi hawkutegemea kuwa mama Samia angekuwa rais wa nchi hii, Ila kwa Mungu Kila kitu kina wezekana.
Huyu ni miongoni mwa binadamu walio Pata malezi Bora zaidi toka kwa wazazi wao.
Atoapo hutuba utaona wingi wa hekima alizo jaliwa na Mwenyezi Mungu, ni rais asiye kuwa na majisifu, ni rais ambaye akitoa hotuba inagusa Kila nyanja ya msikilizaji, na hii ndio iliyo mpaisha baada ya kutoa hutuba kwenye Baraza la Umoja wa mataifa, Dunia Ila ona wingi wa hekima na busara zilizojaa ndani ya mama huyu.
Amerejesha uhusiano mzuri Kati nchi yetu na mataifa mengine, uhusiano ambao kwa hakika ulikuwa na Kila dalili zisizo kuwa na afya njema. Yapo mengi anayo fanya ambayo Yana afya kwa Taifa letu.na ndo maana tunapaswa kumwambia Mungu Asante kwa kutupatia Rais mwenye wingi wa hekima kwa kiwango Cha Hali ya juu.
Huyu ni miongoni mwa binadamu walio Pata malezi Bora zaidi toka kwa wazazi wao.
Atoapo hutuba utaona wingi wa hekima alizo jaliwa na Mwenyezi Mungu, ni rais asiye kuwa na majisifu, ni rais ambaye akitoa hotuba inagusa Kila nyanja ya msikilizaji, na hii ndio iliyo mpaisha baada ya kutoa hutuba kwenye Baraza la Umoja wa mataifa, Dunia Ila ona wingi wa hekima na busara zilizojaa ndani ya mama huyu.
Amerejesha uhusiano mzuri Kati nchi yetu na mataifa mengine, uhusiano ambao kwa hakika ulikuwa na Kila dalili zisizo kuwa na afya njema. Yapo mengi anayo fanya ambayo Yana afya kwa Taifa letu.na ndo maana tunapaswa kumwambia Mungu Asante kwa kutupatia Rais mwenye wingi wa hekima kwa kiwango Cha Hali ya juu.