Ajenda ya Richmond iliwapaisha wapi? Mbona hamkuwapa kura za urais pamoja na hiyo ajenda yao ya Richmond?
Mbowe tatizo lake anszani wtz hakuna kumbukumbu 2010 agenda ya Richmond ndo iliwapaisha Leo hii anasema mini?
WATANZANIA WENGI TUMESHAAMUA KUWA HATUTAMCHAGUA LOWASSA KUWA RAIS NA AMIRI JESHI MKUU WA JMT, porojo tunawaachia wapumbavu.
Basi ni mali yako,tuache na ujinga wetu..
Yeyote atakaye jaribu kuzuia mabadiliko tutampuuza kama wewe
Akihutubia malaki ya Watanzania Mjini Sumbawanga leo amejibu hoja zaifu za Mla Mihogo(dk slaa), Amesema chadema siyo mali ya Dk slaa, Mbowe au kiongozi yoyote yule, chadema ni mali ya watanzani wenye mapenz mema na nchi yao,.Haiwezekan mtu na mke wake wajifanye chadema ni mali yao..sourc itv habar saa 23 usku
hili neno la mwisho lazima uende jela, sheria ya makosa ya mtandao itakupitiatu kwa kudhani ukitukana ndio unakisaidia chama chako,[/QUOT
Hawana hoja walizoe matudi acha waendele kura watapigia gerezani si wanajifanya wsnamiemuko?
Hivi wapo watu wanaoamini hii kitu ni Mali yao???hakika watanzania mnaojiita watakamabadililo mkapimwe akili zenu.
Tanzania nchi rais wetu Lowasa, kubalini kukabidh nch kwa Aman
Ukisikia PAH! Ujue pancha! na ukiona manyoya ujue kaliwa. Pole naona imekuuma.
Isome tena;
WATANZANIA WENGI TUMESHAAMUA KUWA HATUTAMCHAGUA LOWASSA KUWA RAIS NA AMIRI JESHI MKUU WA JMT, porojo tunawaachia wapumbavu.
Mambo ya richmnd tumesema nenden mahakan, kwa sasa tupo busy na kampeni tukimdad rais wetu lowasa, nyie bakien na iyo richmnd yenu
Amenifarahisha sana kamanda mbowe ametoa majibu kama alikua kwenye akili yangu.pongezi nyingi pia kwa kamanda mbatia big up sana ameongea na waandishi wa habari na kutema sumu kali
Na kweli mpo mnaoamini ni mali ya Watanzania? well.. labda kweli mpo mnaoamini hivyo.
Amenifarahisha sana kamanda mbowe ametoa majibu kama alikua kwenye akili yangu.pongezi nyingi pia kwa kamanda mbatia big up sana ameongea na waandishi wa habari na kutema sumu kali
Ukisikia PAH! Ujue pancha! na ukiona manyoya ujue kaliwa. Pole naona imekuuma.
Isome tena;
WATANZANIA WENGI TUMESHAAMUA KUWA HATUTAMCHAGUA LOWASSA KUWA RAIS NA AMIRI JESHI MKUU WA JMT, porojo tunawaachia wapumbavu.
Na kweli mpo mnaoamini ni mali ya Watanzania? well.. labda kweli mpo mnaoamini hivyo.